si kwa kuwa bado kina mama hamjaanza kupiga zile kelele zenu za "usiniumizieeeee huyo!!!"
Ni kweli hajadaka mpira hadi sasa, na hata goli lilipoingia hakudaka pia!Mpaka sasa dakika ya 13 Juma Kaseja hajadaka mpira.
Pole na leo yapo mengi sana.Goli limeingia kirahisi............
Mwingizeni Okwi akadake.
mmmh jaman mpo uwanjan nini mbona kila station nnayo tune ni nil?