Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

Yule aliesababisha Penalty asipewe tena Namba.
 
Popote ulipo mwny jina la ACCOUNT FULL, Hii inakuhusu! Ulisema tukiwafunga utaomba upigwe Ban ya wiki 1, So bila shaka unajua kinachoendelea, sasa Jiandae kwa hiyo BAAAN! Hahahaha simba bana
 
Mpira Wa kijinga makocha matapeli na refa chizi!

Wewe mtu anacheza rafu ndani ya box Alafu beki Wa mwisho inatolewa penalt tu bila Kadi!

Yani Yani soccer Majanga na waamuzi Majanga!

Kamwe Hatuwezi kuendelea namna hii!

Wachezaji wenyewe Hawana mazoezii matozi vibaya!

Yani ni balaa
 
Ushindi huu naupeleka kwa Kitoabi ametuunga mkono
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom