Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

STAR TV wametangaza wataonesha mpira LIVE kutoka Uwanja wa Taifa.
 
Star Tv wameanza matangazo ya mechi ya leo.
 
Inshallah, Yanga Chinja mnyama .....

941352_641239755889387_926998939_n.jpg
 
Juma Kaseja kaanzishwa kwa Upande wa Yanga.
Ivo Mapunda kwa upande wa Simba.
 
Leo mpaka Henry Joseph kapata Namba Simba.
 
Haka ka Nokia Asha 311 kanasumbua sana, nimejaribu mpaka kuweka ktk hali ya Desktop lakini bado. Mashabiki wa Simba wanashangilia basi tu ila matokeo wanayo moyoni mwao.
pole mkuu, ila yote kwa yote, kipigo cha leo simba kitaanzisha historia mpya msimbazi.
 
...kama wewe ni mwanasoka' huyu ni nani?
images
 
Here's Young Africans line-up to face Simba SC today on "Nani Mtani Jembe"
1.Juma Kaseja - 29
2.Mbuyu Twite - 6
3.David Luhende - 3
4.Nadir Haroub "Cannavaro" - 23(C)
5.Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Athuman Idd " Chuji" - 24
7.Mrisho Ngassa - 17
8.Frank Domayo - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Hamis Kiiza - 20
11.Haruna Niyonzima - 8

Subs:
1.Deogratius Munishi "Dida" -30
2.Juma Abdul - 12
3.Oscar Joshua - 4
4.Rajab Zahir - 14
5.Reliants Lusajo - 9
6.Nizar Khalfani - 16
7.Saimon Msuva
8. Hassan Dilunga - 26
9.Jerson Tegete - 10
10.Emmanuel Okwi - 25
11. Said Bahanuzi - 11
12.Hamis Thabit - 22

Star tv
 
Back
Top Bottom