Nasikia mwenzako Kitoabu leo atakuwa Simba kwa muda, wewe uko upande gani leo?masuke crashwise balantanda makoye matale nahisi uzi utafungwa kiaina vile..
Nasikia mwenzako Kitoabu leo atakuwa Simba kwa muda, wewe uko upande gani leo?
pole mkuu, ila yote kwa yote, kipigo cha leo simba kitaanzisha historia mpya msimbazi.Haka ka Nokia Asha 311 kanasumbua sana, nimejaribu mpaka kuweka ktk hali ya Desktop lakini bado. Mashabiki wa Simba wanashangilia basi tu ila matokeo wanayo moyoni mwao.
STAR TV wametangaza wataonesha mpira LIVE kutoka Uwanja wa Taifa.
...leo tunategemea zawadi ya Christmas....., Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to....
refer arsenal fc thread..
yap, namuona kocha wangu mziray akiwa studio.Star Tv wameanza matangazo ya mechi ya leo.
Nasikia mwenzako Kitoabu leo atakuwa Simba kwa muda, wewe uko upande gani leo?
Msomali aka chamoto mpavuni....kama wewe ni mwanasoka' huyu ni nani?
hata huu tutaambiwa makosa ya kiufundi..Uzi wa Arsenal ulifungwa kimakosa nd'o maana ulirejeshwa fasta.
Here's Young Africans line-up to face Simba SC today on "Nani Mtani Jembe"
1.Juma Kaseja - 29
2.Mbuyu Twite - 6
3.David Luhende - 3
4.Nadir Haroub "Cannavaro" - 23(C)
5.Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Athuman Idd " Chuji" - 24
7.Mrisho Ngassa - 17
8.Frank Domayo - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Hamis Kiiza - 20
11.Haruna Niyonzima - 8
Subs:
1.Deogratius Munishi "Dida" -30
2.Juma Abdul - 12
3.Oscar Joshua - 4
4.Rajab Zahir - 14
5.Reliants Lusajo - 9
6.Nizar Khalfani - 16
7.Saimon Msuva
8. Hassan Dilunga - 26
9.Jerson Tegete - 10
10.Emmanuel Okwi - 25
11. Said Bahanuzi - 11
12.Hamis Thabit - 22