Live updates: Taifa Stars Vs Gambia

Vitu anavyofanya Samatta, huwa naviona kwa Real Madrid.
 
asanteni sana wakuu kwa updates ...kipenga kikilia tujulishane manake dah!!
 

We ulikuwepo wakati anaanzisha? vaa helmet zinakuja konzi, it is a free advice,take it or leave it!
 
Bala ingawa tunashabikia timu tofauti kwenye level ya klabu lakini upo tofauti sana na mashabiki ghahawa.Big up
man..You are a role model kwangu kwa ushabiki wa mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…