Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,923
Alo mvua so kocha mkwasa!!?Uko sahihi mkuu, ona wachezaji hawana morari kabisa. Wanacheza bora liende tu. Wamemfanyia figisu kanavaro, wakanyang'anya ukepten kinyemela, leo eti wanambembeleza aje acheze mechi kama ya leo. Namsifu kwa kuwatosa. Malinzi muhuni sana.
Ila nilimkubali alivo kataa kwenda