Live updates :Taifa Stars vs Misri leo tar 04:06:2016

Live updates :Taifa Stars vs Misri leo tar 04:06:2016

Uko sahihi mkuu, ona wachezaji hawana morari kabisa. Wanacheza bora liende tu. Wamemfanyia figisu kanavaro, wakanyang'anya ukepten kinyemela, leo eti wanambembeleza aje acheze mechi kama ya leo. Namsifu kwa kuwatosa. Malinzi muhuni sana.
Alo mvua so kocha mkwasa!!?

Ila nilimkubali alivo kataa kwenda
 
Yaani unatakiwa uwekezaji na uangalizi mkubwa sio mchezo mambo haya ni sawa na kutaka kufika penye kilele cha mnazi hakuna njia ya mkato hapo
Uwekezaji mkubwa kama wangekuwepo watu wenye nia ya dhati ya kuhakikisha hilo linafanyika, basi nadhani kwa muda ambao tangu maxime aondoke tungekuwa tumeshathubutu hilo mafanikio yangekuwepo na matunda yake muda huu tungekuwa tunayafaidi. Yaani wala hata swala la sisi kufuzu kwenye michuano ya caf isingukuwa kitu cha kifikirika, tungekuwa tumeshapazoea tatizo kubwa ambalo lingekuwa kule ni kusurvive kwa muda gani ndani ya michuano... hakuna uwekezaji tulioufanya kuboresha timu kwa miaka 5 iliyopita na sioni dalili, kwa kuhakikisha tu hebu angalia ni mafanikio gani tuliyoyapata tangu aondoke? hata uu mpira mzuri tunaouona ni transformation aliyoifanya Maxime, binafsi hii timu niliacha kuishabikia hii timu tangu 2010
 
Tanzania mpaka siku wakiacha kucheza mpira wa magazetini labda tutapiga hatua. Leo ni wazi tofauti ya wachezaji. Wewe kocha unajuwa Salah silaha yake kubwa speed unashindwa kuweka mtu amsaidie fullback kumtrack back. Mwinyi peke yake na hawezi kumzuia yule jamaa na pale wala hajaweka another gear. Mtangazaji Beinsport alikuwa anasema hawa hata tukicheza dakika 100 hawawezi kufunga goal.
 
Ila samatta katuamgusha leo, kwa nafasi zote kama mchezaji na kama kapteni
 
Breaking news:Jecha kufuta matokeo ya mechi hi ya leo na Itatangazwa tar rasmi ya mechi hiyo kurudiwa na itapangwa pale Msoga stadium.
ungesema nacte wamakubali kuwapeleka wachezaji wote wa timu ya taifa masomoni UDOM.
 
Yan wabong mwendo Kas umetuathir sana had penati samata kapiga ya mwendo kasi
 
Samahani wadau hivi hao waarabu hawajatufanyia fitna? Maana naskia hao jamaa kwa fitna ni hatari, namsubiri mkwasa aseme fitna tulizopigwa
 
Huyu Samatta tumkabidhi kwa Shilole amzibue akili amezidi kuzubaa
 
Hahahaah itasaidia eeeh.!
Mtani kwema?tujipange tu sio mambo ya kuamka na tunataka timu icheze kwa kiwango cha kufikirika au kusadikika.
Wenzetu wamewekeza na wapo makini vinginevyo tutakuwa tunaongeza wagonjwa wa BP na ulcers kwa kuipenda timu yetu.Mashindano ya coca cola na uhai sijui vijana wakiisha chaguliwa wanapotelea wapi!
 
Back
Top Bottom