Live updates :Taifa Stars vs Misri leo tar 04:06:2016

Mhmhmh vepe baba, unaota jioni hivi
Yawezekana nikawa naota ndoto ya kweli kuwa mpaka sasa Misri wanaongoza kwa bao mbili bila.
Unauwezo wa kubishana na ndoto za kweli? Karibu
 
nikujiongeza tuu nmetoka nimeenda zangu mbagala kupata show ya bure ya clouds hamna kitu hapo..................ningepoteza muda wangu tu nakutoka uwanjani roho inaniuma kwa nini nmeenda
 
Yawezekana nikawa naota ndoto ya kweli kuwa mpaka sasa Misri wanaongoza kwa bao mbili bila.
Unauwezo wa kubishana na ndoto za kweli? Karibu

Na bado hata tukipigwa kumi hakuna shida sababu Malinzi na TFF yake badala ya kuwekeza nguvu na jitihada kwenye mikakati ya Stars ishinde wao wanang'ang'ania kuendesha Uchaguzi wa Yanga. Malinzi must go tuachie mpira wetu.
 
Wachezaji wetu wameshakata tamaa, sioni namna watakavyopata goli hapa, sana sana tutaongezwa mengine!!
 
Na bado hata tukipigwa kumi hakuna shida sababu Malinzi na TFF yake badala ya kuwekeza nguvu na jitihada kwenye mikakati ya Stars ishinde wao wanang'ang'ania kuendesha Uchaguzi wa Yanga. Malinzi must go tuachie mpira wetu.
Ahaa mkuu nimekuelewa sasa, twende pamoja kwenye mechi ya kichwa cha mwendawazimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…