Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara (VPL), kuanza kutimua vumbi leo kwa viwanja tofauti.
Mabingwa watetezi ya Yanga SC kuanza ugenini katika dimba la Samora mkoani Iringa, Azam FC watakuwa Chamazi Complex wakipimana ubavu na Ndanda SC huku Singida United wakiwaalika Mwadui FC uwanja wa Namfua mkoani Singida. Ambapo mchezo ulikuwa wa mapema kwa siku ya leo umekwisha, Singida United 3-2 Mwadui FC.
Kaa nasi kukuletea yatakayojiri uwanja wa Samora mkoani Iringa, sambamba na viwanja tofauti.
Vikosi vya timu zote zimetoshana nguvu kati ya Lipuli FC dhidi ya Yanga SC tukianza na wenyeji;
Na upande wa wageni Yanga SC;
Timu zote zimeingia uwanjani kupasha misuli moto, ili kujiweka tayari kwa mtanange.
Naam mpira ameanza Lipuli FC dhidi ya Yanga SC 0-0
Goooooooooaal, 18 ' Papy Tshishimbi anaandika bao la kwanza upande wa Yanga SC
Lipuli FC 0-1 Yanga SC
45' za kipindi cha kwanza za mchezo zimemalizika hapa uwanja wa Samora Iringa.
Wenyeji wakiwa nyuma ya bao moja dhidi ya Yanga SC
Mpira umeanza kipindi cha pili, na hakuna mabadiliko kwa wachezaji pande zote
46' Lipuli FC 0-1 Yanga SC
Go goooal 56 ' Butswita anaipatia goli la pili Yanga SC
Lipuli FC 0-2 Yanga SC
90' Naam mpira umekwishaaaaaaaaaaaaa Yanga wameibuka na ushindi wa goli mbili bila majibu dhidi ya Lipuli FC.
Asanteni sana. Ghazwat
Mabingwa watetezi ya Yanga SC kuanza ugenini katika dimba la Samora mkoani Iringa, Azam FC watakuwa Chamazi Complex wakipimana ubavu na Ndanda SC huku Singida United wakiwaalika Mwadui FC uwanja wa Namfua mkoani Singida. Ambapo mchezo ulikuwa wa mapema kwa siku ya leo umekwisha, Singida United 3-2 Mwadui FC.
Kaa nasi kukuletea yatakayojiri uwanja wa Samora mkoani Iringa, sambamba na viwanja tofauti.
Vikosi vya timu zote zimetoshana nguvu kati ya Lipuli FC dhidi ya Yanga SC tukianza na wenyeji;
Timu zote zimeingia uwanjani kupasha misuli moto, ili kujiweka tayari kwa mtanange.
Naam mpira ameanza Lipuli FC dhidi ya Yanga SC 0-0
Goooooooooaal, 18 ' Papy Tshishimbi anaandika bao la kwanza upande wa Yanga SC
Lipuli FC 0-1 Yanga SC
45' za kipindi cha kwanza za mchezo zimemalizika hapa uwanja wa Samora Iringa.
Wenyeji wakiwa nyuma ya bao moja dhidi ya Yanga SC
Mpira umeanza kipindi cha pili, na hakuna mabadiliko kwa wachezaji pande zote
46' Lipuli FC 0-1 Yanga SC
Go goooal 56 ' Butswita anaipatia goli la pili Yanga SC
Lipuli FC 0-2 Yanga SC
90' Naam mpira umekwishaaaaaaaaaaaaa Yanga wameibuka na ushindi wa goli mbili bila majibu dhidi ya Lipuli FC.
Asanteni sana. Ghazwat