barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Haya mtani, ila safari hii mtakuwa mnatuangalia kwa juu tu.Hahaaaa. Ghazwat haya ndio niliyakosa kutoka kwa barafuyamoto.
Hakuna jipya Mtani tulikukumbuka tu bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mtani, ila safari hii mtakuwa mnatuangalia kwa juu tu.Hahaaaa. Ghazwat haya ndio niliyakosa kutoka kwa barafuyamoto.
Hakuna jipya Mtani tulikukumbuka tu bana.
Hahaaaa. Ndio mkaze buti sasa Mtani mkizubaa tu imekula kwenu.Haya mtani, ila safari hii mtakuwa mnatuangalia kwa juu tu.
Ni kweli, ila tuwe wakweli, simba ya msimu uliopita sio simba ya msimu huu na yanga ya msimu uliopita sio yanga ua msimu huu. Timu zimepishana, mmoja kapanda mmoja kashuka kidogo.Hahaaaa. Ndio mkaze buti sasa mkizubaa tu imekula kwenu.
Mwaka wa tano huu mnatuambia ubingwa tuusahauHongera Yanga kwa ushindi wa leo, hongereni wana Yanga ila ubingwa msahau.
Hahaaa. Ndio Soka la Tanzania hilo yaani halijawahi eleweka.Ni kweli, ila tuwe wakweli, simba ya msimu uliopita sio simba ya msimu huu na yanga ya msimu uliopita sio yanga ua msimu huu. Timu zimepishana, mmoja kapanda mmoja kashuka kidogo.
Ni kweli, ila tuwe wakweli, simba ya msimu uliopita sio simba ya msimu huu na yanga ya msimu uliopita sio yanga ua msimu huu. Timu zimepishana, mmoja kapanda mmoja kashuka kidogo.
Tumshukur mungu..... Yanga rahaaaaaa
Tuko pamoja sema tu mi nilichelewa. Hongera kwetu kwa ushindiHaya jamani wana Yanga wenzangu njooni tufuatilie Chama letu huku.
Pole kwa kuchelewa Ndugu. Pia tujipongeze tu kwa kweli Ndugu.Tuko pamoja sema tu mi nilichelewa. Hongera kwetu kwa ushindi