Hii imekaa vizuri. Mfungaji nani?Yanga1 mtibwa0 dakika 51
Yeboyebo wapo mbeleMatokeo vipi jamani?
Unashangaa nini? Mtaishia kucheza mabonanza tu ndege hampandi.
Utazeeka bure...
Mbele kivipi?, dhidi ya mtibwa au mbele kwa maana ya kuongoza ligi?, ("as it stands") jitahidi kuwa bayana KataviYeboyebo wapo mbele
Naona na wewe umeamua kuandika kwa rangi Nyekundu kuonesha wewe ni mpenzi wa Simba,Mwenye kuihofia Yanga.Yanga Mbeleko Zimezidi Kwani Hata Refa Kavaa Viatu Vya Njano Kuonyesha Jinsi Gani Yupo Upande Wenu.