nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 939
Ni kawaida siku ya mechi ya simba ukipita mtaa wa msimbazi kuwakuta wanazi wake wamejaa kwa wingi wao wakipeana hamasa. Lakini leo nimepita pale mida ya saa moja waliopo hawafiki 20, halafu wamepooza! Sijui nini kinaendelea!