Live Updates YANGA SC VS MTIBWA SUGER leo tr. 16/04/016

Ni kawaida siku ya mechi ya simba ukipita mtaa wa msimbazi kuwakuta wanazi wake wamejaa kwa wingi wao wakipeana hamasa. Lakini leo nimepita pale mida ya saa moja waliopo hawafiki 20, halafu wamepooza! Sijui nini kinaendelea!
 
Ni kawaida siku ya mechi ya simba ukipita mtaa wa msimbazi kuwakuta wanazi wake wamejaa kwa wingi wao wakipeana hamasa. Lakini leo nimepita pale mida ya saa moja waliopo hawafiki 20, halafu wamepooza! Sijui nini kinaendelea!
Angalia mkuu utatolewa macho usione tena
 
Angalia mkuu utatolewa macho usione tena
Bahati nzuri najua saikolojia ya hoyahoya wa kibongo kuanzia kwenye siasa mpaka soka. Hivyo huwa namakinika kuangalia nimevaaje kabla hata sijashiriki maongezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…