Wamejiogesha bupu hao, wakifika Cairo wanakula week.Dk 37 yanga wanapata goli.kanavaro ndo mfungaji.
subiri magazeti ya kesho sijui tu..
Misri sio pagumu...
yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
FULL TIME:
Yanga 1-0 Al Ahly
===============
"MPIRA UMEKWISHA"
===============
Nashukuru Mungu Al Ahly hawajapata bao ugenini.
Yanga watakwenda kupigwa nne bila misri.
bora ushindi nyumba kuliko kipigo kotekote..Nashukuru Mungu Al Ahly hawajapata bao ugenini.
ipi alishindwa kufa Manji siku ya mkono! iwe leo!Mtakufa na pressure.
teh teh teh. Rutashobolwa wapi, ushaenda kulala...kudaaaadeki....jezi nyekundu hazionekani tena!
Nashukuru Mungu Al Ahly hawajapata bao ugenini.