Live Updates: Yanga Vs Namungo FC (VPL)

Live Updates: Yanga Vs Namungo FC (VPL)

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
106229262_3132040313484013_5780120550635729588_o.jpg

Kikosi cha Yanga

Mechi zinaendelea jioni ya leo
 
Lunyasi tunahitaji Alama 3 tu kujitangazia Ubingwa hiyo Jumamosi huko Mbeya...
Utopolo hata washinde zilizobaki hawatazigonga alama 81 za Lunyasi hiyo J'Mosi...na Prisons lazima akae tu. Tunarudi Dar makwapa Juu.
 
pale kuna tatizo kubwa sana,nashangaa mzigo wa lawama wanapewa Moringa na Yikpe tu.

wajitahidi wapate hata droo
Daah yani wanasikitisha sana, wajitahidi tu wasifungwe tumechoka sasa kuona mtani anaibishwa hivi kila siku.!
 
Back
Top Bottom