Mzee sijui kama zimetimia yule aseee maana daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....trump ni debe tupu; haliachi kutika. Tangu aingie madarakani haipiti siku hajalamika; yaani amelaumi kila kitu ispokuwa yeye na watoto wake tu. Ameshawalalamikia hata wateule wake mwenyewe. Kila siku kwa Trump ni siku ya kulaumu tu.
Rais wa taifa kubwa tajiri anapolalamika sijui kwa wengine inakuaje.Trump ni debe tupu; haliachi kutika. Tangu aingie madarakani haipiti siku hajalalamika; yaani amelaumu kila kitu isipokuwa yeye na watoto wake tu. Ameshawalalamikia hata wateule wake mwenyewe. Kila siku kwa Trump ni siku ya kulaumu tu.