LIVE: YANGA SC Vs IHEFU FC

Naweza nisichukue makombe lakini mafanikio yangu ni makubwa sana kimataifa mpaka kufikia hatua ya kuwabeba nyie lakini ndo hivyo hambebeki.
Sio naweza nisichukue....Uwezo wenyewe wa kuchukua huna [emoji1] Kama sisi tuu
 
Mafanikio ni kushinda ubingwa siku zote na sio kufika sehemu yeyote ile.

Kama haujachukua ubingwa basi haujafanikiwa kivyovyote vile.

Zesco utd wamefika semi final 2016 lakini hauwezi kuwasikia wakijinasibu kua wao ni level za Al ahly Wala Mazembe.
Aliyekwambia hawajinasibu ni nani ? unaishi nao huko Zambia ??
 
Aliyekwambia hawajinasibu ni nani ? unaishi nao huko Zambia ??
Mkuu mishe zangu huwaga ni huko Zambia(Kitwe).

Ila mashabiki wa kule hawana 'umbumbumbu' kama nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…