XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Kwahiyo zile 6 mlipigwajeAcha mihemko mzee.
Yanga hakua kundi moja na Raja Casablanca.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo zile 6 mlipigwajeAcha mihemko mzee.
Yanga hakua kundi moja na Raja Casablanca.
6-1 ilikua miaka ya 70's huko.Kwahiyo zile 6 mlipigwaje
Oops.. ilikuwa ni Champion '98 Raja 6 Utopolo 0Acha mihemko mzee.
Yanga hakua kundi moja na Raja Casablanca.
Nyie kombe lenu ni makundi.Kwa Caf champions league every stage counts. hizo hizo robo fainali ndo zilituwezesha kuwabeba na mkatuaibisha.
Ni nusu fainali ambayo hamkuwahi hata kuota kufika.Nyie kombe lenu ni makundi.
Kuna mechi inayoendelea saizi kati ya KMC na Majimaji
KMC wanacheza vizuri kuliko yanga, sometimes bora tuwe tunaweka updates kwenye mechi kama hizo kuliko kumuangalia mayele akijiangusha peke yake kwenye box
Vimechi vidogo vidogo halafu unaweka kikosi cha kwanza?
Mngefanya kujiamini kama simba alivyoweka kikosi chake hiyo jana, tuone kama mngechomoka
Wengine wanabeba makombe nyie mko busy na mambo ya makundi.Ni nusu fainali ambayo hamkuwahi hata kuota kufika.
Acha woga malizia hiyo sentensiKila la heri Yanga Yangu, Daima mbele..............
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app