Naona umekimbia kabisa kule kwenye kijiwe chenu,siku hizi unashinda wapi?Leo L'pool imekuwa kapu la magoli, wasipokuwa makini wanaweza kubugizwa hata goli 5
Pole kiongozi!If ref saw replays, he will try to balance and that may work for us
Naona umekimbia kabisa kule kwenye kijiwe chenu,siku hizi unashinda wapi?
<span style="font-family: century gothic"><font size="4">Leo L'pool imekuwa kapu la magoli, wasipokuwa makini wanaweza kubugizwa hata goli 5 </font></span>
Adebayor anapenda sifa nasubiri siku atakayowafunga Man City atakavyoshangilia
We need to sign some referees too...
ati unamtoa suarez unamuacha kuyt, kesho akiomba transfer kwa kudhalilishwa unasema haipendi liverpoolDungshit akubal tu Caroll n floopy signing and he is just hyped...naona anamchezesha wik inn week out kujust price tag yake..damn!
mkuu unahama sana timu aiseeLa Nnnnnneeeeeeeeeee! leo mnapigwa nyingi sana.
mawazo yako ni sawa kabisa na CCMDaglish naye ni wa kutimua!!
Kaspendi hela za club ovyo ovyo kwa kusajili wachezaji ambao hawana imppact