Asalam Alyekum ustaadh wangu BAK...samahani...sijui nakufananisha au ndo wewe wewe?..mm naitwa Manda a.k.a. Muzee ya Nane...ushawai nisikia hata kwa bahati mbaya?
mawazo yako ni sawa kabisa na CCM
you look and sound alike
Mtazoea tuu, ukizingatia kuwa kati ya mechi 16 za ligi mmeshinda nne tuu (ukijumlisha na za msimu uliopita)Kufungwa Kunauma sana..... Siwezi sema kuwa sie Arsenal funz tushazoea koz hakuzoeleki... Poleni sana.... 2nd game mnachezea kichapo.....
i am declaring my interest
if daglish subs suarez while leaving carrol on the field ... then i am no longer supporting the kops
i am declaring my interest
if daglish subs suarez while leaving carrol on the field ... then i am no longer supporting the kops
Huyu Kenny Kashaanza kuniuzi Arudishwe ofisini ndani kule arudishwe Benitez.. anataka kumfurahisha Carroll bila sababu zozote anamtowa Suarez na Handerson si wakutolewa muda ule Kati ndio kunapelekwa alikuwa amtowe Downing aweke Belammy then atowe Caroll aingie Steven G Wake. Downing lazima ajifunze pembeni mtu ukikimbia na mpira unapinda kidogo na kuingia ndani speed sababu beki atakuogopa sio anaenda then anarudi alipotoka. Kenny kama unasoma kiswahili hapa lazima ujue kwenye Football watu kama Suarez ndio Game winner wa Dk za majeruhi kama Kumpa Kobe Bryant Achome 3 sekunde za kufa mtu.
Haa haaa! Pazi acha kunivunja mbavu, Mfalme na kiswahili wapi na wapi?!
Halafu kwa nini wenyeji wa hapa mnapotea kiasi hiki?! Yaani juzi chama limeshinda mechi ya Carling, leo ratiba imetolewa lkn hapa ni kimya kama hakuna kitu...au wote wameenda Igunga kupigia debe vyama vyao!!!
i am declaring my interest
if daglish subs suarez while leaving carrol on the field ... then i am no longer supporting the kops
Mzee wa chuki binafsi utaunda majina yote yataisha, vipi nini kili/kimewazuia kutengeneza historia yenu na nyie???Huyo Queen wenu bado anaishi kwenye ndoto za pre-premiership....wakati ule kwenye timu ilikuwa ni pair ya big na small strikers, with loads of British players who don't have any skill, just lumping the ball forward for the big man to head anywhere and hope for the best, that's how Loserpool made their history....so expect a lot from Carroll this season.
Nimemwona Suarez alivyokasirika leo alivyotolewa, tuone itakuwaje huko mbele. Kwangu mimi nafikiri Suarez na Bellamy ni morden strikers na wanaweza kufanya good partnership kuliko that donkey Carroll.