acha umaandazi wewe utani wa jadi wa man utd vs lfc uko palepale kila wakikutana no matter team iko ktk level gani, they have a lot to compete with kutokana na historia zao thats why hata huwa hawauziani wachezaji
Upo tayari Ku-bet Biya??Suarez -1...........Man U -0
Mate si unajua Mungu ni shabiki wa Liverpool? Mashetani yatapenyea wapi?
Niko tayari mkuu!Upo tayari Ku-bet Biya??
Maini yanaliwa mabichi!! hakutakuwa na muda wa kuyakaanga wala kuyachoma!
Man U wako vizuri mkuu, lakini kwa mechi kama hii uzuri unawekwa kando watu wanacheza mpira..... Nina imani sana na nimeoteshwa Suarez leo ataliza watu.i will go for a two all draw... and a couple of red cards
UNWA ... com' on you reds
we unaweza kumkana mtoto wako hata kama ulimaa nje ya ndoa?Duuh! Wewe si ulisema umeacha kushabikia loserfool???!!!!!
Mzee wa chuki binafsi karibu.Duuh! Wewe si ulisema umeacha kushabikia loserfool???!!!!!
we unaweza kumkana mtoto wako hata kama ulimaa nje ya ndoa?
I see you got time for this!!!The QUEENS visit each other.....hahahahaha!