Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
acha umaandazi wewe utani wa jadi wa man utd vs lfc uko palepale kila wakikutana no matter team iko ktk level gani, they have a lot to compete with kutokana na historia zao thats why hata huwa hawauziani wachezaji
Inasaidia nini kama unacompete na mtu ambaye hata ukimfunga yeye anachukua ubingwa na wewe hata kwenye best 4 haumo?

