Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kila nikiwaangalia liverpool nashindwa kuelewa tatizo kama ni leadership on the pitch au upumbavu

we have lost like 10 vital point
manure (drew 2 points lost) it was there for the taking
mansix (drew 2 points lost) even after domination and red card
swansea (fooking dull performance 2 points lost)
fulham (silly silly silly) 3 points lost
norwich - 2 points lost

anyway ndio mpira huo
 
Kweli mkuu, nadhani pamoja na kuwa mara nyingi vijana wanajituma sana lkn bado wanakosa leadership uwanjani, pia huu 'utaalamu' wa kugonga post za magoli sijui wameutoa wapi.
 
....wamemuonea kwakuwa anatokea Uruguay,....mbona John Terry hawajamuadhibu mpaka leo?
au kwakuwa ni muingereza mwenzao? this is not fair bana....8 matches ban na
£40,000 fine khaaa?

I hope JT yeye atafungwa jela haswaaa!
 
....wamemuonea kwakuwa anatokea Uruguay,....mbona John Terry hawajamuadhibu mpaka leo?
au kwakuwa ni muingereza mwenzao? this is not fair bana....8 matches ban na
£40,000 fine khaaa?

I hope JT yeye atafungwa jela haswaaa!

Mbu, kama kweli Suarez alitukana, then naunga mkono mia kwa mia hiyo adhabu, we should ban racism at any cost... BUT KNOWING BRITISH AS RACISTS AS THEY ARE, TERRY WILL BE WARNED OF HIS CONDUCT AND THAT WILL BE IT!!!!

LETS SEE HOW CONSISTENCY FAIRS IN THE EPL, WHICH IS IN FACT DILAPIDATED..... DAY BY DAY...
 
Reactions: Mbu
....wamemuonea kwakuwa anatokea Uruguay,....mbona John Terry hawajamuadhibu mpaka leo?
au kwakuwa ni muingereza mwenzao? this is not fair bana....8 matches ban na
£40,000 fine khaaa?

I hope JT yeye atafungwa jela haswaaa!



miafrika bana! Nachukia sana racism na kama Terry akikutwa na hatia afungiwe tu maisha, lakini kesi ya Suarez ilitangulia kabla ya Terry, sasa inakuwa vipi unalialia kwamba Terry kapengdelewa wakati kesi bado iko FA na polisi? Punguza ushabiki kwenye issue neutral kama hizi.
 
Reactions: Mbu



Phew .... ..... ..... ......
Kuna jamaa walitoa matusi hapa chacha waanze kufahamu maana ya analysis
kusoma kwenyewe wamesomea mchangani then wanakuja hapa
na kufikiri wamechoma phew!
Khe khe khe khe khe chacha Loserfools wa-appeal ili abandikwe 16 matches
na faini juu patamu hapo patashika nguo kuchanika

khe khe khe khe khe eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW bado tinachubiri zamu ya JT .... ... ingawa yeye kesi yake ipo kwa cps ... .... ...
 
....wamemuonea kwakuwa anatokea Uruguay,....mbona John Terry hawajamuadhibu mpaka leo?
au kwakuwa ni muingereza mwenzao? this is not fair bana....8 matches ban na
£40,000 fine khaaa?

I hope JT yeye atafungwa jela haswaaa!

Mkuu si unajua tena alichofanya JT ni criminal offence kwa UK, kwa sababu waliolalamika mwanzo ni watazamaji chacha tuchubiri tuone huko cps watafanya nini. kesi yake nae imefika patamu.
 



Kidomodomo kimemponza

khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ati kule kwao wanaitana ''monkey'' kwa hiyo ni sawa akiwa UK aite wenzake monkeys ... ... what a stupid idea!

 



Suarez wish is their command ... .... ....
khe khe keh khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee


Na bado tinachubiri na adhabu yake kwa supporters wa the cottagers .... .... ..... .. atakoma mwaka huu .... .. ..
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
when benders speak.... always some vanilla in it!!

If he committed the crime he must serve 8 matches, racism has no place in any sport!!!

...but as always, a few marmalade flavors will dwell around with their butt naked screaming and shouting once, twice, three time... till the bull whip some ass!!!
 
Wote tunapinga ubaguzi lakini tunachotaka kutoka kwa FA wafanye maamuzi sawa kwa kila mchezaji. Sio kupendelea wachezaji wao.

Issue ya John Terry wanaizungulusha mpaka leo. Tunasubiri tuone watafanyaje.
 
Rooney kampiga mtu buti kule kwenye ya kushiriki euro wameenda kukata rufaa, Gervinho kamgusa tu yule Barton kaenda kujindosha hawakutaka kusikia rufaa yetu.

FA wabaguzi kwa wageni,media wabaguzi pia. Na nitaendelea kuchukia timu yao ya taifa kutokana na ubaguzi wao.
 
FA kuna walakini. Huwezi kumwadhibu mtu kiasi hicho kwa kutumia ushahidi wa mtu mmoja. Evra alidai hayo maneno yalitamkwa zaidi ya Mara kumi, lakini hakuna camera hata moja iliyoyanasa wala hakuna mchezaji mwingine yeyote wa Manure aliyeyasikia. Haingii akilini.
Ngoja tusubiri tuone JT watamwadhibuje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…