Kafurahi sana bwana mdogo. Ngoja arudi next week na Tottenham.Ooops, sorry. Hii hapa: http://i.minus.com/ijUesU4W4Vbsc.gif
Ooops, sorry. Hii hapa: http://i.minus.com/ijUesU4W4Vbsc.gif
Ila Leo Nimefurahi Tumeshinda Ila Mkuu Suarez ingekuwa vizuri wangekutana na Evra wakapatana ingekuwa vizuri kwa kuosha matatizo ya baazi ya mashabiki.
Ila Leo Nimefurahi Tumeshinda Ila Mkuu Suarez ingekuwa vizuri wangekutana na Evra wakapatana ingekuwa vizuri kwa kuosha matatizo ya baazi ya mashabiki.
evra ni drama queenmkuu pazi kuna jamaa mmoja kule kwenye uzi wa man kasema kuyt alikuwa anamuita evra defender defender ni kweli au uzushi..
evra ni drama queen
Yap! Mambo ndo haya... Leo sharobaro Carroll kafunga!
Huko kwa watani zetu Everton kulikuwa na kituko, shabiki kavamia uwanjani kaenda golini akajitia pingu kwenye goli!! Balaa, ila wamemnasua!
Asante, vipi kuna mtu alikudanganya kuwa kuna msiba huku??? Hafi mtu hapa.Hongereni naona mnaanza kufufuka
Umeanza kusahau dozi za Stoke na Bolton,but uzuri siku hizi misiba ni kitu cha kawaida kwenye Premier LeagueAsante, vipi kuna mtu alikudanganya kuwa kuna msiba huku??? Hafi mtu hapa.
Haahaahaaa we mkuu naona unachanganya! Ongelea Blackburn utaeleweka vizuri!!Umeanza kusahau dozi za Stoke na Bolton,but uzuri siku hizi misiba ni kitu cha kawaida kwenye Premier League