tatizo wanamuacha giggs anazurura..
labda wamfunge kamba golini kwao.
Au wawaite polisi jamii wakomeshe uzururaji wake.
Mkuu, ni mchezaji gani wa Liverpool anayeelewana na wachezaji wa man u??? Tatizo lililopo ni kuwa FA inajaribu ku-justify adhabu yake kwa Suarez, angalia, mechi ya Chelsea na QPR walipiga marufuku handshake kwa wachezaji. Suarez na Daglish wanaamini kuwa adhabu ilikuwa batili... So wanaotamani mkono wa Suarez watajibeba! Nani anajua labda Evra angelalamikia kuwa Suarez amemfinya kibaguzi??!na hapo hata kaa aelewane na wachezaji wa man maana hata rio amemtolea macho kama nini..
kwahiyo leo upande wa Loserfools?nimechoshwa ma mfumo Man u ligi ya uingereza.
Niko kote kote.
leo mi namuonea huruma ta muganyizi atakufa wikiendi hii na kesho anakibarua cha yanga..
kwahiyo leo upande wa Loserfools?
Fool than you!!! Kwa unafiki wa waingereza uko sawa kabisa! Kuwa mchezaji akimfanyia mwenzako kitendo kisichostahili ruksa na wewe kumfanyia...!! Akimkanyaga mwenzako na wewe unamkanyaga, kwa England ni sahihi!!I'm scared you might be a fool more than me, that was tit for tat retaliation after Evra snab
Leo tunaua.........Haki ya Mungu nimeota ndoto kabisa kuwa Liverpool kamchapa Man Utd 3 -1 magoli ya liverpool sikumbuki kafunga nani ila lile moja la kufutia machozi la Man utd kafunga Evra kabla ya kupewa red card maana alimpiga ngumi Suarez baada ya Kumpiga kanzu na dobo!!!! I wish iwe true..........Ndetchia........uko wapi
Suarez naona kabusu ngozi yake!!
leo mi namuonea huruma ta muganyizi atakufa wikiendi hii na kesho anakibarua cha yanga..
kwahiyo leo upande wa Loserfools?
Timu zipi mkuu?! Labda wanasubiri wachezaji wa Tz wafikie viwango!! Glen Johnson ni mchina!! Sijui kwanini zote hazina wahindi??!kwani timu hizi hazinaga wachezaji wa Africa?
Timu zipi mkuu?! Labda wanasubiri wachezaji wa Tz wafikie viwango!! Glen Johnson ni mchina!! Sijui kwanini zote hazina wahindi??!
mi nilikuwa nataka afunge tu.. basi
We jiandae kupokea rambirambi maana tayari nsha gonga viroba........kusherekea kipigo atakachopewa simba leo na Azam........kisha ninywe valuer kwa ushindi wa Liverpool dhidi ya Man utd. Ili usinikimbie nipe number yako ya simu uni PM nitakuzomea hadi ukome
Unajua mkuu, watu walishazoea kubebwa/kusaidiwa kama rais wao! Ukisoma kwa makini baadhi ya mawazo utagundua ni kama vile wanataka waafrika wapewe 'viti maalum' katika kila timu ya majuu!! Shame on them..Like...