Ningependa kuwapa pongezi Wapinzani wangu wa United, Ila Suarez mie muda mwengine nashindwa kuelewa kichwa chake na ubongo wake ni vipi? na hapohapo British People waache kelele wao ndio mibaguzi hakuna tena wanafiki tu. wapewe huyo Harry wao tuone watafika wapi? round ya pili bahati kwao.