Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ningependa kuwapa pongezi Wapinzani wangu wa United, Ila Suarez mie muda mwengine nashindwa kuelewa kichwa chake na ubongo wake ni vipi? na hapohapo British People waache kelele wao ndio mibaguzi hakuna tena wanafiki tu. wapewe huyo Harry wao tuone watafika wapi? round ya pili bahati kwao.
 
Tweet my #handshake.

Suarez is a disgrace to Liverpool and sports.
 
Tweet my #handshake.

Suarez is a disgrace to Liverpool and sports.
Mbona mnalilia hivyo handshake ya Suarez??? Hamjawahi kuona wachezaji wamechuniana?! Na waingereza walivyo wanafiki tutakoma na kelele zao, hizi zenu ni cha mtoto!
 
Mbona mnalilia hivyo handshake ya Suarez??? Hamjawahi kuona wachezaji wamechuniana?! Na waingereza walivyo wanafiki tutakoma na kelele zao, hizi zenu ni cha mtoto!

Af mbona issue ya Terry na Bridge walivyochuniana issue haikuwa kubwa kama hii!? Af watu wa Man mbona hawamuongelei Rio alivyomkaushia Suarez!? Ka kumuita mtu kwa rangi yake ni ubaguzi, basi waAfrika ni wabaguzi sana maana tunawaita wazungu au whitemen.
 
Poleni vibonde komaeni na FA na Carling Cup
 
Poleni vibonde komaeni na FA na Carling Cup

Lol Belo leo kaongea Vs Sisi ilikuchukua muda mwingi kutupa pole naona lol! iliisubiri kwa hamu kama nakuona mfarisiyo yuko wapi?
 
EVRA and SUAREZ hand shake
 
Last edited by a moderator:
Mbona mnalilia hivyo handshake ya Suarez??? Hamjawahi kuona wachezaji wamechuniana?! Na waingereza walivyo wanafiki tutakoma na kelele zao, hizi zenu ni cha mtoto!

nani analilia wewe chukua kwanza hiyo :A S thumbs_down:
 
Unajua mkuu, watu walishazoea kubebwa/kusaidiwa kama rais wao! Ukisoma kwa makini baadhi ya mawazo utagundua ni kama vile wanataka waafrika wapewe 'viti maalum' katika kila timu ya majuu!! Shame on them..

mpuuzi mkubwa, chukua zawadi yako :A S thumbs_down:
 
safi sana naona watalia kisa suarez kafunga..baada ya kupata pasi kwa rio..

watu wengine kama nyie mnabidi mbaki kwenye Taarab tu, Mwanaume mzima una maneno kama mwimba Taarab, unastahili hii :A S thumbs_down:
 
Mbona mnalilia hivyo handshake ya Suarez??? Hamjawahi kuona wachezaji wamechuniana?! Na waingereza walivyo wanafiki tutakoma na kelele zao, hizi zenu ni cha mtoto!

Mwenzenu keshaomba msamaha. Nyinyi endeleeni kulamba miguu yake na ****** wake.
 


Mkuu issue ya JT na Bridge haikua inahusisha suala la ubaguzi. Wao walichunia kutokana na kuchukuliana wapenzi. Sasa hapo ulitaka hilo jambo lipewe airtime wakati sio isho kiivyo.

Suala la Patty na Suarez linahusu ubaguzi,ambao unapingwa sana katika modern sports. Sasa kwa alichokifanya Luis lazima kipigiwe kelele. Na ndio maana amemwomba msamaha Evra.

Kuhusu Rio kukataa mkono wa Luis,ile ilikua ni wazi ingekua vile. Na ile ni kuonyesha kwamba Rio yupo pamoja na Patty,na hakubaliani na ****** wa Luis.
 
Chijui maringo yalikuwa ya nini .... ..... .... tetesi wameomba msamaha wasamehewe Surez na King Kenny ooops queen wengine wanachema.
 
Tafuta wa kudanganya! Rudia kusoma vizuri hiyo apology hutaona mahali alipomuomba msamaha mwafrika oops mzungu evra. Na tayari kama kawaida waingereza wapiga kelele wameanza kulalamika kuwa maneno yamepangiliwa kwa ufundi kuepuka kumuomba msamaha 'mzungu' wenu. Unafiki wa ndugu zako utawatesa sana.. QPR vs Chelsea no handshake na issue ni hiyohiyo ya maneno ya kibaguzi unayojaribu kujifariji nayo huko juu, hakukuwa na hizi kelele zenu. Kabla ya mechi ya Chelsea na man u Fednand aliapa kuwa hatampa Terry mkono hatukusikia jitihada wala makelele ya kushawishi wapeane mikono, bahati tu Terry akawa majeruhi hakucheza. Adebayo alifungiwa kwa kushangilia mbele ya fans wa Arsenal! Sasa subiri ripoti ya refa tuone mzungu evra atazawadiwa nini kwa kwenda makusudi kushangilia mbele ya Suarez, tena alimwelekezea makalio Suarez!!
 
Sie Watu Weusi Muda mwengine tunayatafuta wenyewe tungeacha mambo ya kuitana N Words sie wenyewe kwanza, nakubaliana na kuhusu Chelsea na QPR ni Chelsea na FA ndio waliitengeneza walijuwa hakutokuwa hand shake, British People hakuna kama wao kwa ubaguzi na kujaribu kutetea watu wao kijanja ingekuwa Terry ni mtu wa Nje Magazeti yangezidi kumchafua yeye Innocent bado ila Suarez japo namchukia kabla ya Kesi Media za UK hakuwa Innocent alishakuwa na Makosa machoni mwao mapema, ila Terry wanaenda naye kijanja mpaka wamuokoe na kosa. Mie sukubaliani na Suarez LFC, tukumbuke wabaguzi wanakuwa ni wabaguzi tu Manchester United Fanbase wapo ambao walikuwa na Dress za KKK na Season Ticket Holder za United ambao na website walitengeneza kwamba wao wanaipenda United ila si wachezaji weusi ila Magazeti machache sana yameongelea UK tena ndani za Page. kwahiyo watu tuache kupiga kelele wabaguzi as fan wapo kibao kila timu. kuhusu Suarez nimchezaji wa kulipwa anatakiwa kuonyesha mfano hakuonyesha. Tanzania labda nao ni muda kuweka wachezaji wa Kihindi basi tuone kwenye timu. kama hamjasema mpaka awe mchezaji mzuri msidanganyike kwenye timu sababu Kuna weusi wengi basi hakuna ubaguzi. Mfano ni Cesc Fabregas , Kanoute kasema kaitwa N Word na Fabregas akasema anauhakika ingekuwa UK Fabregas asingetumia hayo maneno na hata angetumia angepigwa fine ila Spain wametetea natizama Fabregas amekaa na wachezaji weusi wangapi? mtu mbaguzi ni mbaguzi kuna wanaoficha na kuna wanaonyesha Fabregas kaona karudi kwao anamwaga tu maneno ila Kanoute sababu ni mtu mzima anasema ana move on na life hawezi kukaa akapigisha kelele wakati anajijuwa kwanza yeye si "N" Person. yeye ni Kanoute kasema na yuko proud kuwa mweusi hawezi kukaa wakati yeye mweusi akapiga kelele kwanini kabaguliwa rangi yake mtu anaofanya ubaguzi anaonyesha Education yake ndogo wachana naye mwisho na ww utakwua kama yeye ukibishana na mjinga kwahio msikae hapa vitu vya wale wawili mnaanza kutaka kupigana wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…