Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Teh teh.....Leo Liver kazi mnayo....

Vijamaa vimechomoa.....Lol
 
Reactions: Mbu
Mkuu utanisamehe! Nilipokuwa najiandaa kukujibu Kuyt akapiga bao ikabidi nirukeruke kwanza! Vijamaa vinajua kubana... Lkn ndo hivo 1-2 kwa Liverpool
bado dkk chache.
Teh teh teh,hahaha.
Mkuu ngoja nikachukue soda zangu kwa mshikaji kabisaaaaaaa!maana aliniahidi tukushinda leo nikachukue soda 10 fanta,teh teh teh,hahaha,kama kutakua na mabadiliko utanijulisha mkuu!
 
yaani vijamaa vimewatoa makamasi......hii Mi-racist...........yaani hivi vitoto vimenifurahisha sana..........
 

koh- koh......!
:eyebrows:
 
naona ndugu ya Gerrad kaamua kumpa zawadi Kaka yake.............
 
Ukiona awajibu yamewakuta mpwa loh better mnaonaje hako k atimu tukaanzishie thread yake nachi maana mpira wanaocheza loh kama
 
Haya wanga woooote mliokuwa mnachonga hapa kuweni wanamichezo! Toeni hongera kwa adabu sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…