Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Teh teh teh,hahaha.Mkuu utanisamehe! Nilipokuwa najiandaa kukujibu Kuyt akapiga bao ikabidi nirukeruke kwanza! Vijamaa vinajua kubana... Lkn ndo hivo 1-2 kwa Liverpool
bado dkk chache.
wamechomoa kazi mnayo..
Khaaa! 2-2. Ukisikia kufia uwanjani ndo hawa jamaa!
koh- koh......! :eyebrows:
Liver wameshinda kwa penati 3 dhidi ya 2 za Cardif Cityjamani mtujuze mbona kimya?????