Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

:biggrin1: hawa champions league tumeshawafuta..hata wakirudigi watakua kwenye pot sawa na man city....hata kaji uefa cup hampo? daaah!!!
Wewe bwana mchokozi sana. Leo si tumecheza Young Boys na tumewapiga 5-3 kwenye Europa? halafu kutuweka kundi moja na Man City kwenye UCL wakati unajua hakuna timu ya kiwango chetu kwenye EPL ni injustice iliyopitiliza. Sisi ni baada ya Real Madrid na AC Milan bwana hilo hamuwezi kulifuta milele. Man City level yao Arsenal na Spurs, Chelsea level yao kwa mbali labda Man Utd!
 

:biggrin1: eti mmecheza na young boys...what happened to those days of liverpool vs madrid liverpool vs ac milan saivi eti liverpool vs young boys...yaani maana yake mnacheza na 'young boys' watoto wadogo wa europe..watu wazima mmewashindwa...kwa hiyo man city ndio the new liverpool wamechukua nafasi yenu ya nne kwenye top 4 ya england
 

Hehehe we kijana tukana mamba mto hujavuka jumapili watakuchapa hawa
 
Reactions: SG8
Mkuu salama?! Huyo jamaa hawezi kukuelewa kbs! Hata hayo mashindano anayosema hatumo ni mashindano yasiyokuwepo! Sasa muulize yeye kayatoa wapi utashangaa...
 
Reactions: SG8
Liverpool will rise again under Brendan Rodgers! The youngsters were impressive!
 
Wewe kwa uelewa huu, inafaa mwalimu aliyekufundisha hadi ukajua kuandika atafutwe apewe tuzo! Hivi mlipokutana na Bilbao mlikuwa na hao akina Madrid na Milan?!?! Na kuhusu hao unaowaita watoto wadogo unaweza kuweka hapa wastani wa umri wao? Kwa uongo huu ni halali nyie kujisifia eti ni 'mashetani wekundu'. Maana yeye ndiye muongo na baba wa huo.
 
When two men marry each other they become "Man United" a.k.a Scum. Anakurupuka sana huyu jamaa, sijui alianza lini kushabikia mpira? Huyu hata ukimuuliza Eric Cantona hamjui!
 
And what happened to those days, Man Utd vs Bayen Munich, Man Utd vs Barcelona msimu uliopita mlikutana na wale madogo wa Uswisi wakiwa na jezi za Barca wakatoa kamati pale OT. Mlipohamia Europa huku ambako sisi ndio wababe wenu sawa na UCL mkatupwa kwa Atletic Bilbao... Unajifanya umesahau mlichokipata wewe na jirani yako?
 

mkuu gerrard usitoke jasho bure na usipende kubishana na vidampa wa manure from old trashford maana huwa hawajui lolote zaidi ya ushadadiaji tu..

Forza man city
 
Reactions: SG8
Liverpool: Reina, Kelly, Skrtel, Agger, Johnson, Gerrard, Allen, Shelvey, Borini, Suarez, Sterling. Subs: Jones, Jose Enrique, Sahin, Assaidi, Henderson, Carragher, Fernandez Saez.
Man Utd: Lindegaard, Da Silva, Ferdinand, Evans, Evra, Carrick, Giggs, Valencia, Kagawa, Nani, van Persie. Subs: De Gea, Anderson, Hernandez, Welbeck, Scholes, Cleverley, Buttner.
Referee: Mark Halsey (Lancashire)
 
All the best u guys..... I do hope u will make the job done in first half........NEVER WALK ALONE....
 
hodi huku...................nashkuru huku nmekuta mwnyej kila la kher bwna baka hao manyu..nyu
 
Liverpool hii game yenu kabisa.....Final killer ball ndo inahitajika....
 
LFC hatuna Killer striker. Tukubali sie sasa hivi underdogs! Refa huyu hafai kabisa watu wanapenda kumsema Howard Webb sababu ya United ila game kama hazina hakuna Refa mzuri kama Howard Webb! Huyu Refa lile kato la Evra ni Yellow haijatolea Shelvey asilimia kubwa ni Red Card kapatia ila wasiwasi unakuja Evans naye kaingia vilevile yeye tu kaamuwa kulala pale kama kaguswa! Kamuweka refa kwenye wakati mgumu sana sababu hafai katowa Red na Evans alitakiwa angalau Yellow sasa Sababu Refa anajishuku utakuja kuona mchezaji wa LFC atapewa Penalt ambayo sio ili kujikosha ndio marefa wabovu walivyo. Piga uwa Howard Webb best japo mie LFC, United watashinda hii game wakiweka middle kati.
 
Shelvey pia alichomjibu Sir Alex sio kizuri hata kama Sir Alex alianza mtu mzima muache kama alivyo, Doh Steven Goal sema hii Game bado United watashinda mie najua wamemuingiza Scholes kati au alikuwepo?
 
Pazi, Jonjo na Evans wote walikwenda miguu yote na studs waziwazi juu, sasa refa kama ana makengeza vile kaona ya Jonjo tu! Jiulize tofauti ya rafu ya Luiz jana na hii ni ipi... Siyo neno tunasonga mbele pamoja na kuwa wanatafuta kila njia kuikwamisha Liverpool, hivi Suarez akifanya rafu kama ya Evra atabaki uwanjani kweli? Na kelele zitakuwa kiasi gani na kwa muda gani?!
 
kwa mpira huu Manu ni bingwa haiwezekani ref kuwa na makengeza pamoja na lines men
Ref anabeba sana ile kadi ya Van persi ni red haina alternative
Mimi sio Liver lakini kwa mpira wa leo Liver ameonewa na refa
 
Yaani mechi ya leo walitegemea labda Suarez akatae mkono wa evra ili wapate kisingizio, walipokosa huko refa wa Manu na FA kaamua kuokoa jahazi lao kwa kila njia, nani atadanganyika kuwa refa na wasaidizi wake hakuna aliyemuona van parsie?!
 
Hehehe we kijana tukana mamba mto hujavuka jumapili watakuchapa hawa

:biggrin1: mto tushavuka japokua a draw would have been a fair result bt thank God we got the 3pts beatin liverpool is the sweetest thing on this earth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…