Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punainen-Red hili ndio tatizo wakati wa Benitez sasa hivi ni Wenger wa Arsenal ndio wanamuandama sana hawatizami ubora wake ila wanahamu aondoke ili awepo Manager wa Kiengereza.
Hiyo incident ingetokea kwenye game ya ManU zingepigwa kelele wiki nzima,still Liverpool mnahitaji striker wa kucheza na sUAREZ kule mbeleBelo sizani kama Everton kabebwa Everton hajabebwa kacheza vizuri ile ni Official kuogopa kelele za mashabiki na inachangia wakishakaa Canteen wote chama cha ma Refa kuongelea Baazi ya wachezaji hizi Tabia UK wanazo toka Viera amekuja C ronaldo Sasa Suarez sema Suarez ajirekebishe Tabia za mpira wa Mchangani la sivyo kwa Media na baazi ya British Managers watazidi kumkandamiza.
Daglish ndio aliharibu timu naamini Hodgson alikuwa kocha wa muda,Je hawa wamarekani watakubali kumpa Rodgers muda ajenge timu?Tumechapwa mbaya tushakuwa majaribio timu LFC kurudi kule inakotakiwa itachukua 2yrs kwa Brendan Rogers namuaminia angekuja mapema wakati wa Hodgson bora. Swansea hongera kwao.
Daglish ndio aliharibu timu naamini Hodgson alikuwa kocha wa muda,Je hawa wamarekani watakubali kumpa Rodgers muda ajenge timu?