Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mtatoka kweli nyie watu? Sijui hii ndio Everton ya mwaka huu wako fiti sana, inabidi mshikilie nyeti mpaka mpira uishe.
 
It is the EPL and the Officials against Suarez. Huyu jamaa amekuwa targeted kuliko Osama. Ningekuwa mimi ningeshaikimbia England
 
Ni muda wa Officials kutokuwepo chama kimoja na FA, FA wanataka uwaseme ma Refa then mnapigwa charge za nguvu ni muda Marefa kutokupewa muda wa kufikiria nao kuulizwa maswali na kupigwa Fine kubwa tu mshika kibendera aliweka kibendera chini kwa muda wa sekunde hata 21 za Suarez anashangilia ndio akanyanyua si Ufisadi tu wa chuki kwa mtu binafsi angefunga SG Refa angekataa basi mshika kibendera angelikubali. Everton wamecheza vizuri ila ni bad draw kwa LFC ukitegemea kuongoza 2-0 na kukataliwa goal vile muda wanaowapa washika vibendera wa kurudi kutizama TV unawapa usemi wa kutafuta sababu zengine za wao kujitetea wakiwemo na FA. SAHIN asingetolewa wangemsukuma SG mbele au wangemuingiza Assaidi, Raheem game kama Evrton haiwezi watamvunja.
 
Poleni Wakuu lile goli la Suarez kukiwa kumesalia sekunde chache mchezo kumalizika lilikuwa goli halali kabisa.
 
Ni muda wa Officials kutokuwepo chama kimoja na FA, FA wanataka uwaseme ma Refa then mnapigwa charge za nguvu ni muda Marefa kutokupewa muda wa kufikiria nao kuulizwa maswali na kupigwa Fine kubwa tu mshika kibendera aliweka kibendera chini kwa muda wa sekunde hata 21 za Suarez anashangilia ndio akanyanyua si Ufisadi tu wa chuki kwa mtu binafsi angefunga SG Refa angekataa basi mshika kibendera angelikubali. Everton wamecheza vizuri ila ni bad draw kwa LFC ukitegemea kuongoza 2-0 na kukataliwa goal vile muda wanaowapa washika vibendera wa kurudi kutizama TV unawapa usemi wa kutafuta sababu zengine za wao kujitetea wakiwemo na FA. SAHIN asingetolewa wangemsukuma SG mbele au wangemuingiza Assaidi, Raheem game kama Evrton haiwezi watamvunja. Sema pia bado sijaelewa Suaarez anavyokuwa anakata watu miguu au anajiangusha anawapa sababu Media,timu baazi ya watu kuruka mada kumrushia yeye anatakiwa ajitahidi kubadilika sio Streets football hii.
 
Huwa nasema kila siku,kila timu inabebwa leo ilikuwa zamu ya Everton
 
Belo sizani kama Everton kabebwa Everton hajabebwa kacheza vizuri ile ni Official kuogopa kelele za mashabiki na inachangia wakishakaa Canteen wote chama cha ma Refa kuongelea Baazi ya wachezaji hizi Tabia UK wanazo toka Viera amekuja C ronaldo Sasa Suarez sema Suarez ajirekebishe Tabia za mpira wa Mchangani la sivyo kwa Media na baazi ya British Managers watazidi kumkandamiza.
 
Wazo la Rodgers second half kumchezesha bwana mdogo Sterling pale mbele katikati nimelipenda sana. Wakifanya mazoezi na Suarez wanaweza kutengeneza partnership moja bab kubwa
 
Soka la uingereza ni wizi, ktk miaka ya karibuni hata kuwa bingwa huko lazima uwe mwizi tu! Haiwezekani marefa waboronge kila siku dhidi ya timu moja halafu kisingizio kiwe Suarez. Fa na marefa wao wamekuwa kinyume na Liverpool hata kabla ya Suarez kuja, ikiwa club hii itasombwa na propaganda za eti sababu ni Suarez itakuwa inajidanganya sana. Tumeona maamuzi ya kipumbavu na utata mwingi dhidi ya Liverpool hata wakati wa Benitezi na hatukuwa na mchezaji yeyote tunayeweza kusema alikuwa controversial.
 
Punainen-Red hili ndio tatizo wakati wa Benitez sasa hivi ni Wenger wa Arsenal ndio wanamuandama sana hawatizami ubora wake ila wanahamu aondoke ili awepo Manager wa Kiengereza.
 
sterling is a good player in a wrong team....angependezea angekua anachezea man utd or chelsea, ni vizuri young players wawe kwenye team ambayo inacheza champions league na wanashinda makombe from time to time
 
Punainen-Red hili ndio tatizo wakati wa Benitez sasa hivi ni Wenger wa Arsenal ndio wanamuandama sana hawatizami ubora wake ila wanahamu aondoke ili awepo Manager wa Kiengereza.

Afu ubaya na uzuri wenyewe makocha wa kibritish wengi ni wabovu lakini bado wanalazimisha waje kina Tony Adams sijui Harry Redknapp. Mtu kama huwezi ku-manage kitimu cha East Europe kisicho na pressure kama Arsenal, Liverpool unadhani utaweza mikiki mikiki ya EPL kweli?
 
Hiyo incident ingetokea kwenye game ya ManU zingepigwa kelele wiki nzima,still Liverpool mnahitaji striker wa kucheza na sUAREZ kule mbele
 
Tumechapwa mbaya tushakuwa majaribio timu LFC kurudi kule inakotakiwa itachukua 2yrs kwa Brendan Rogers namuaminia angekuja mapema wakati wa Hodgson bora. Swansea hongera kwao.
 
Tumechapwa mbaya tushakuwa majaribio timu LFC kurudi kule inakotakiwa itachukua 2yrs kwa Brendan Rogers namuaminia angekuja mapema wakati wa Hodgson bora. Swansea hongera kwao.
Daglish ndio aliharibu timu naamini Hodgson alikuwa kocha wa muda,Je hawa wamarekani watakubali kumpa Rodgers muda ajenge timu?
 
Wasipompa muda wa kutosha watakuwa wanajidanganya sana. Ila kwa upande mwingine kutoka kwenye hii Capital One inaweza kuwa a blessing in disguise! Maana kwa kweli hivi sasa Liverpool tuna kikosi kidogo mno, ngumu sasa kuchezesha wachezaji walewale ktk mashindano yote. YNWA.
 
Daglish ndio aliharibu timu naamini Hodgson alikuwa kocha wa muda,Je hawa wamarekani watakubali kumpa Rodgers muda ajenge timu?

Mpira ni Biashara kwa mwenye pesa muda anaona unakwenda pesa zinapotea hilo ndio tatizo ila pia ukimpa mtu muda na timu huibadilishi ovyo unapata kuwabakisha wachezaji kwa pamoja kwa muda mwingi pia inasaidia ukitizama timu zinazofanikiwa ni zile wachezaji wapo kwa pamoja kwa muda mwingi Mfano Manchester united pia Chelsea walivyobaki bado wakongwe imewasaidia kubeba CL na FA toka miaka ya nyuma timu zinazoshinda Kombe ni zenye wachezaji wamekaa pamoja muda mwingi ukibadilisha badilisha wawili. LFC iliyoshinda CL na FA 2005-2006 timu ilikuwa wengi walikuwa pamoja kwa kipindi kirefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…