Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tumeanza kuhit form, ingawa ni kwa kuchelewa mwaka huu. Next year ndo tutakuwa moto wa kuotea masafa.
 
kocha muoga rodgers eti anamwambia moyes be strong!?..kweli nyani haoni kundule!
 
Rodgers amefanya kazi nzuri kwa mwaka wa kwanza..tusubiri mwaka kesho tuone, kama hakishindwa hapo basi ndo tunamtimua
 
Natanguliza salam zangu kwenu wana liverpool wote,!Napenda kuchukua fulsa hii kuipongeza club yangu hii kongwe kwa kufanya usajili mapema kabisa na coach brendan rodgers naamin anajazia sehemu zenye mapungufu.Wana liverpool wote tunafaham kabisa amepewa budget finyu mno so lzm achukue wachezaji kwa bei nafuu kias na ninaamin anasajili wale ambao anajua watafit ktk mfumo wake.ONGERA ZANGU KUBWA NI KWA SCOUTING TEAM NAO THEY'VE DONE A GREAT JOB..KOLO TOURE ANAZIBA PENGO LA OUR LEGEND J CARREGHER,LUIS ALBERTO(SK),IAGO ASPAS(SK) NA SIMON MIGNOLET(GK).!!!YOU'LL NEVER WALK ALONE FOR LIFE!!
 
kak kweli name nampongeza sana kocha kwa kufanya usajili kulingana na mapungufu aliyoyaona na kizuri ameafanya mapema zaidi sio kusubiri dakika za mwisho. Naamini ligi itakapoanza tutakuwa vizuri zaidi na tuatatisha
 
Mbona kuna Liverpool special thread nyingine hapa JF toka miaka mingi, hii tena ya nini? Au ile ya kwanza imeshakuwa historia kama ilivyo timu yenyewwe?!!
 
suarez haondoki tu ? Leta wanyama na mabeki na winger Alienda shule bora Wauze Suarez mapema ili pesa walete wa maana.
 





Big-money flops: Liverpool have wasted a lot of money in recent years, including £35m on Andy Carroll


 





Big-money flops: Liverpool have wasted a lot of money in recent years, including £35m on Andy Carroll



Si mngemjibu tu mkamwambia kama mnavuta bangi, petrol au mihadarati. Kwani kuna ugumu gani kusema wazi kile mnachovuta?
 
Arsenal wanachekesha sana

its like mecco ya mbeya, ushirika ya moshi, coastal, majimaji au cda dodoma

ni vitimu vya msimu, ila vina makeke balaa
 
Due! hivi mpaka leo Liver pool ina mashabiki tu?
 
Sherif Arpaio waambie vijana. wanamfahamu Macllister hao?

Mpofuka ukongweni hapotewi na njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…