Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Aspas on the Move.

Sterling..

Skipper for Aspas..

Take it HATERS...

El Pistorelo...

Take that...

"Nlikuwepo":bolt:
 
We are back!!Sina imani na magoli ya kwanza anayofunga martin skretel!Toka amekuja liv tukianza kufunga na mfungaj ni yy TUKIJITAID SN TUNAPATA POINT 1..!
 
We are back!!Sina imani na magoli ya kwanza anayofunga martin skretel!Toka amekuja liv tukianza kufunga na mfungaj ni yy TUKIJITAID SN TUNAPATA POINT 1..!
Mlienda wapi mkuu wangu?
 
Haya wakuu, tutakuwa uwanjani kuanzia saa 12 jioni hii kwa saa za Afrika Mashariki kumenyana na Oldham ktk round ya tatu kombe la FA. Mwaka uliopita vijamaa hivi vilitutoa ktk mashindano haya.
Nategemea Rodger awapumzishe baadhi ya wachezaji wetu wa kikosi cha kwanza...YNWA.
 
Siyo mbaya...2-0 kwa Liverpool, Iago Aspas leo kaona nyavu! Bila shaka itampa kujiamini zaidi. YNWA.
 
Mambo ya usajili naona Basle wanatuekea ngumu! Na Agger kaumia waanze kumueka mtoto Lloris wafanya wanunue Fernando Reges na Salah Kabla hajaenda kwengine.
 
Stk 0-2Liver bwana magoli ndiye aliye funga goli la pili.
 
coutinho ajifunze ku shoot mpira na Lucas na SG naona wanatetemeka tu kati kipa naye akirudishiwa mpira wasiwasi, stoke akicheza mpira wakinyanyua ruka kwa vichwa lfc tutafungwa hawaturuhusu kucheza chini Kama middle hazitocheza vizuri LFC tusahau 3point na hata 1 point. Huwezi mtu 2-0 then warudi Kama sio ubabaishaji wa katikati.
 
SAS is back great Assit from number 15 Daniel Sturidge dk 70 Luis Suarez anaipatia LFC goli la 4 ni 4-2 wasiharibu sasa.
 
SAS!SAS!SAS! Wanatisha kama Ukoma! LFC for Life! Wenye wivu endeleeni kuchungulia tu humu.
 
So far timu ambayo haijabebwa msimu mzima ni Arsenal. Hongereni Liverpool kwa ushindi wa kwanza kabisa Britannia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…