alikua ni stureg pale pasi kutoka kwa suarez
jina lake ni kubwa kuandika herufi zote inachikua mda ndio nikatumia njia pandaAnaitwa Sturridge mkuu...
Ila tumekuelewa...
Wakuu Matokeo Vp
Mzee wa Nilikuwepo...kumbe we na Liverpool damdam...unasomeka pande za Sombetini Arusha huku