yap allen, gerrald, herndason.....
Wamekosa goli rahisi sana,watoto wanapita sana huku kwa flanagan kwakuwa hakuna wa kupandisha mashambulizi..
"Nlikuwepo":bolt:
half time. Liver leo wapo chini ya kiwango. Pasi mbovu, kutojiamini, poor defending, tupo salama c kwa uzuri bali ubovu na umaliziaji mbaya wa saton. Ahsante suarez kwa kutuweka mbele kwa gali 1
Msako unaendelea mbaya sana Mkuu!
Dk 58 Sou 0 Lvp 2
nimeona mkuu. Kidogo tupumue sasa. Roja nyoko aisee
nzi, mbu na wenzake cjui sinziga kwisha habari yao wameshakala