Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
yap allen, gerrald, herndason.....
Allen bado hajanifurahisha hapo kati. Pass zake nyingi zinaishia miguuni mwa maadui, yaani haziko accurate! Jembe letu Sterling sijui kwa nini leo liko bench? Tumetangulia lakini kanaweza kuchomolewa mara moja!