Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
ukilala unaiota eh? Endelea kuifurahisha roho yako kwa kuiumiza mwanaume hawi na wivu wa kike.
Just like Arsenal and United
Transition eti? How long will that transition take unafikiri?United iko katika transition kitu ambacho nahisi hukielewi maana ungeelewa usingeandika hayo.
Hujui ulisemalo ndugu...frankly speaking timu yenu ndo ishaanza ku retard hi yo na deceleration yake ni kubwa mno.Mbona una tabia za kijinga wewe? Mimi nije kuionea wivu Liverpool kwa misingi ipi? Ile timu imelaaniwa na haitakuja kuchukua ubingwa mpaka miaka 3o ifike, huu ni mwaka wa 24 bado sita. Mwaka 2008 si ilikuwa hivi hivi.....kelele nyingi mwiho wa siku wanaume wakachukua ubingwa na Liverpool ikaishia kwenye historia mpaka mwaka huu. Au mwenzetu si mfuatiliaji ni mtu wa kufuata upepo tu?
Moderator,please pandisha hizi records zetu hapo juuLIVERPOOL FC - HONOURS AND TROPHIES
Liverpool Football Club are the most successful English football team and also one of Europe's most decorated clubs. We have won 58 major club honours - 10 of which have arrived in the last 10 years.
LEAGUE CHAMPIONS18 times1900/01, 1905/06, 1921/22, 1922/23, 1946/47, 1963/64, 1965/66, 1972/73, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1979/80, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1985/86, 1987/88, 1989/90
EUROPEAN CHAMPIONS5 timesBritish record1976/77 3-1 vs. Borussia Mönchengladbach1977/78 1-0 vs. Club Brugge1980/81 1-0 vs. Real Madrid1983/84 1-1 (4-2 in penalty shootout) vs. AS Roma2004/05 3-3 (3-2 in penalty shootout) vs. AC Milan
UEFA CUP WINNERS3 timesBritish record1972/73, 1975/76, 2000/01
FA CUP WINNERS7 times1964/65, 1973/74, 1985/86, 1988/89, 1991/92, 2000/01, 2005/06
LEAGUE CUP WINNERS8 timesEnglish record1980/81, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1994/95, 2000/01, 2002/03, 2011/12EUROPEAN SUPER CUP WINNERS3 timesBritish record1977, 2001, 2005
CHARITY SHIELD WINNERS15 times1963/64+, 1964/65+, 1965/66, 1973/74, 1975/76, 1976/77+, 1978/79, 1979/80, 1981/82, 1985/86*, 1987/88, 1988/89, 1989/90, 2000/01, 2006/07
SUPER CUP WINNERS Once1985/86
Further trophies
Football League Second Division Champions-41893/94, 1895/96, 1904/05, 1961/62
Lancashire League Champions-11892-93FA
Youth Cup Winners-21995/96, 2005/06
Reserves Division One Winners-161956/57, 1968/69, 1969/70, 1970/71, 1972/73, 1973/74, 1974/75, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1980/81, 1981/82, 1983/84, 1984/85, 1989/90, 1999/2000-
Mr. Mbishi, kuna ishu zingne siyo lazma Ucomment, coz mwisho wa siku unaweza kuonekana Kichaa Tu, if you're truly a football fan, huwez hata kidogo ukaiita team kama Liverpool ni Just a MidTable team, Hata kama kuna baadh ya vipind ilikuwa ikiperfom vibaya, na sisi kama Mashabiki wa kweli wa liverpool all over the world, Tuliisupport katika yale mapito magum na tutaendelea kuisupport no matter the stuations, and is what we're made of, as Liverpool fans, siyo kama plastic fans wa Manure na ChelShit...
#YNWA
Mara nyingi statistics huwa hazidanganyi mkuu...YNWA!Ni mara sita tu huko nyuma imewahi kutokea kwa washambuliaji wawili wa Liverpool kufikisha magoli angalau 20 kila mmoja.Kati ya hizo,mara nne wamekuwa mabingwa wa premier,mara moja mabingwa wa division one na mara moja mabingwa wa division two!
Mpaka sasa Luis Suarez na Daniel Sturridge wana magoli 28 na 20 respectively.Kwahiyo sasa ni mara ya saba ukizingatia maelezo hapo juu.Swali ni je watakuwa mabingwa kama ambavyo imetokea mara hizo sita?
Unaweza kuta ni shabiki wa Chelsick tu,timu iliyoanza kupata ramani ya mpira mwaka 2004 baada ya kununuliwa na yule Mrusi! Kabla ya hapo ilikuwa ni timu ya kupambana kuepuka kushuka daraja na akina Leeds Utd! Siwapendi ila nawaheshimu sana Man Utd..! Mafanikio yao hayajawahi kutegemea kununua ubingwa like Chelsee and Man City are Just doing..! Naona wapo kwenye transistion kama tuliopo nayo sisi..!
YNWA...!
cc Ntuzu
Yes kama kawa......1. Simon mignolet 2. Adam Johnson 3. Jon Flanagan 4. Danny Agger 5. Martin skirtel 6. Steven Gerald. 7. Joe Allen. 8. Jordan henderson 9. Luis Suarez 10. Philipe Cotinho 11. Danny Sturidge. This is anfield
msimu ule ligi haikuwa ngumu Kama huu, huu timu 6 zinakimbiza na ule japo tunampenda Benitez aliharibu kwa kupenda kubadilisha mno timu na timu ilikuwa nzuri kuliko ya sasa , ya sasa imekosa mtu Kama Alonso au Kama Yaya Toure, Kama nilivyowahi kusema nyuma hii LFC ya sasa tumetoka mbali Kuwa hapa hakuna hata Media moja ilitegemea LFC ikarudi ilipo hata Kabla Benitez kuja nani alifikiria tutachukua CL .??? Kama timu ndio inajitengeneza basi LFC inatengenezeka uzuri tuna mshukuru Owner na Rogers kuweza kuwabutua nje Carrol na Downing , Hendo kawaonyesha yeye sio Flop japo si Player wa 16m.Tukumbuke msimu wa 2008/2009 ambao ulikuwa mzuri kwa liverpool.Ingawa haikuchukua ubingwa kwa kumaliza na points 86,points 4 nyuma ya Man united ambayo ndiyo ilichukua ubingwa.
Baada ya msimu huo liverpool ikapotea kabisa kwenye top 4 kwa misimu mitatu mfululizo.
Baada ya mechi 31 msimu huo liverpool ilifikisha points 67.Msimu huu baada ya mechi hizo 31 liva wanazo points 65, points mbili tu pungufu ya points walizokuwa nazo msimu huo wa mwisho kwa mafanikio kabla ya misimu mibaya mitatu iliyofuatia kwa idadi sawa ya mechi 31.
Swali ni je kwa mfanano huo wa points kwa misimu hii miwili tofauti,inawezekana mwaka huu pia ukawa wa mafanikio ya kiasi ya kuweza kuingia kwenye records kama msimu huo wa 2008/2009?
So is LiverpoolUnited iko katika transition kitu ambacho nahisi hukielewi maana ungeelewa usingeandika hayo.
Transition eti? How long will that transition take unafikiri?
Transition for over 24 years, come on now.
Hujui ulisemalo ndugu...frankly speaking timu yenu ndo ishaanza ku retard hi yo na deceleration yake ni kubwa mno.
Poleni ambao bado hamuuoni huo ukweli...japo ni ukweli mchungu ila ni UKWELI.