Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Duh Belo na ww ulikimbia...mambo yakiwa mabaya tu mbio.
Jukwaa hili mi siappreciate sana hawa jamaa siku wakifungwa huoni mtu hapa.

Nadhani mwaka huu na kuendelea utatuona sana,maana malengo yameshatimia mpaka sasa,tunachofanya sasa ni juhudi kuizidi kudra!

"Nlikuwepo":bolt:
 
Last edited by a moderator:



Teh Teh Teh Teh!

Umefunga kuongea mpk mwezi Wa 5!!!!

Kesho nasukuma karata yng ya kwanza ya UCL! Nyie kushiriki Mara ya mwisho ilikua lini?
 
Ndg yangu Ntuzu, category imejieleza kwamba ni sport na uzi unahusu Liverpool football club. Nashangaa tena unaliza kama hoja ni zakimpira. He! Ina maana huoni ama hujaelewa? Hakuna ukaribu wowote kati ya eto na domo, I think unafahamu kwamba eto aliishawahi kusema kwamba hatochezea timu inayofundishwa na domo...

eto yuko chelsick kuraise cv yake, na kwa kuwa domo siyo kocha wa kufundisha na kutengeneza vapaji alimchukua eto kwa mkataba wa mwaka 1 aje kufunga wapate ubingwa fastafasta, that's all!

Unahitajika umakini kabla hujaandika chochote. Kama kuongea kwa domo kuna faida, ni kwann amejing'atang'ta na kurudisha lawama kwa mwanahabari aliyevujisha maneno aliyoyatoa kumkashifu eto?
 
Jaslaws, hiyo ndiyo formation maarufu ya domo. Gemu ya chelsick na aseno watu waliisubiria kwa hamu wakidhani amebadilika kumbe wapi!
Daaa we jamaa unanivunja mbavu uku..hyo fomesheni ni hatari...
 

Hayo ni maneno yako! Unakumbuka usahili Wa Eto'o kwenda Internazionale chini ya Jose ulikuaje? Na nini Jose alisema baada ya kuwapa Barc Ibrahimovic na yeye kumchukua Eto'o? Km utakua unakumbuka ndio Maana nikasema Eto'o Na Jose ni kitu kimoja! Na uzuri ni kwamba maneno yake yanafanya kz vzr sn Kwa watu km nyie!

Teh Teh Teh Teh!

Yani Naomba siku zikimbie haraka Twende Kwa jogoo tukamchinje kwenye kibanda chake cha YNWA Teh Teh Teh Teh !!!
 
Hatimaye jukwaa limechangamka baada ya kuwa dormant tangu JF ianzishwe

Mkuu leo uichaji simu yako mapema ili use unatupatia updates za mechi yenu na Bayern Munich...!

With this current form jukwaa letu lazima lichangamke tu...!
 
Jaslaws, hiyo ndiyo formation maarufu ya domo. Gemu ya chelsick na aseno watu waliisubiria kwa hamu wakidhani amebadilika kumbe wapi!

Tuko na fomesheni ya kifaru! Nikushambulia Kwa kwenda mbele!

Teh Teh Teh Teh
 
Mkuu leo uichaji simu yako mapema ili use unatupatia updates za mechi yenu na Bayern Munich...!

With this current form jukwaa letu lazima lichangamke tu...!


Teh Teh Teh Teh

Haka kajukwaa tunakachangamsha mpk wenyewe wanaona raha!

Kwa kweli zile thread za Man Utd na Man City na Arsenal Nimeshamaliza kz na wao! Yani huko napita tu kusoma hoja zao kuona namna gani wanaota! Lkn ktk hii thread yenu mtachoka wenyewe tu na km mnauwezo njooni kwenye thread yetu kule muone moto Wa hoja!
 
Hawa majamaa wameshaanza kelele...ngoja Crystal Palace na Norwich wawazibe midomo.....hawa majamaa sitaki kabisa wachukue ndoo, ni heri gunners wabebe kuliko loserfools and shitty.

Na kwa taarifa yako mmojawao ndo atabeba ndoo ndugu yangu Nzi...!
 
Last edited by a moderator:

Haya kijana wa Mouthrinho...naona like Manager like fans!

Time will tell come May...YNWA.
 
Kombe la Chelsea maana imezifunga liva, man, asenali na man city. Hicho in kigezo tosha!
 
Teh Teh Teh

Umeishiwa hoja Mkuu!

Siku tukikutana ndo utajua kama Anfield hoja zipo au hakuna...juzi hapa CP wamekutoa kamasi naona hujajifunza. Subiria Stoke City nao wavunje daraja ndo utajua afu ukija kwetu ni MAKWENZI tu!

YNWA...LFC.
 
Siku tukikutana ndo utajua kama Anfield hoja zipo au hakuna...juzi hapa CP wamekutoa kamasi naona hujajifunza. Subiria Stoke City nao wavunje daraja ndo utajua afu ukija kwetu ni MAKWENZI tu!

YNWA...LFC.

Kumbe ana game na Stoke?Mwanzo si alipigwa goli tatu kama sikosei!Tena amewasahau hawa jamaa?

"Nlikuwepo":bolt:
 
Naikubali sana hiyo formation yenu ya kushambulia kama kifaru.Imemsaidia sana tores mpaka sasa anamzidi magoli skrtel...eheheheheheheheeeee
Tuko na fomesheni ya kifaru! Nikushambulia Kwa kwenda mbele!

Teh Teh Teh Teh
 
...Unahitajika umakini kabla hujaandika chochote. Kama kuongea kwa domo kuna faida, ni kwann amejing'atang'ta na kurudisha lawama kwa mwanahabari aliyevujisha maneno aliyoyatoa kumkashifu eto?
 
Siku tukikutana ndo utajua kama Anfield hoja zipo au hakuna...juzi hapa CP wamekutoa kamasi naona hujajifunza. Subiria Stoke City nao wavunje daraja ndo utajua afu ukija kwetu ni MAKWENZI tu!

YNWA...LFC.

Teh Teh Teh Teh

Daraja limeshindwa kuvunjwa Na mitimu mikubwa ghali km Man City Sembuse Stock City!!!?? Teh Teh Teh

Yani Tarehe 27 wahi mapema tukamle jogoo!
 
Naikubali sana hiyo formation yenu ya kushambulia kama kifaru.Imemsaidia sana tores mpaka sasa anamzidi magoli skrtel...eheheheheheheheeeee


Teh Teh Teh Teh

Skrtel siku hiyo lazima aombe po! Kwi Kwi Kwi Kwi! Na hivi nyonga yake ngumu km ya Agger!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…