Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Forgods sake napromise hapa kesho chelsea akishinda kwa swansea seriously ntatembea uchiii samora nzima jtatu.
 
Game yetu ya kwenda fainali za UCL ni tarehe 22 coz ile ya tarehe 30 tutakua tumechoka sn kwa game yenu ya tarehe 27. Lkn ni nafasi kubwa sn Ktk game yenu Salah Matic na wengine kupangwa

Game nyepes kwenu kwenye nusu fainal ya UCL, ni ile ambayo mngepangwa na BAYERN

Lakin kwa AT MADRID itakuwa ni Game ngumu kdg, itahitaj nguvu za ziada sana..

so, Mkizubaa, yatawakuta kama yale ya Real Madrid UCL ya last season dhidi ya Dortmund....AT MADRID wamekuwa na msimu mzuri kama ilvyokuwa kwa Dortmund last season...

Umakini unahitajika aiseee..:
 
 
Mkuu umenifurahisha sana!
Halafu nasikia Ashanti watachelewa kufika maana ndege wanayokuja nayo kutokea Manchester imepata hitilafu.

"Nlikuwepo":bolt:

hahahahahahah

hatari saaaaaana...
 
 
 
 
 
 
Liverpool mnaongea sana..subirini kesho mtakavotahiriwa bila ganzi
 
kuna watu mafanikio yetu msimu huu yanawauma!

Mnaongea sana ..kocha wenu toka jtatu yuko kwenye magazeti kuongea ongea,tu kama mtoto anayejifunza kuonfea..subirini kesho si mmezoea magoli ya penati basi kesho jasho litawatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…