The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Mkuu Ntuzu sie hata ubebe kikombe kwa mara ya 2 hamna noma ila tar27 jiandae kukabidhi point tatu pale maryside.
Game yetu ya kwenda fainali za UCL ni tarehe 22 coz ile ya tarehe 30 tutakua tumechoka sn kwa game yenu ya tarehe 27. Lkn ni nafasi kubwa sn Ktk game yenu Salah Matic na wengine kupangwa
Ni Messeyside Brother..
YNWA...!
WAZEE WA HISTORIA LEO MNACHEZA SAA NGapi?
saa 8 usiku na Ashanti United...[/QUOTE
GET URSELF A LIFE!
saa 8 usiku na Ashanti United...[/QUOTE
GET URSELF A LIFE!
Anza kwanza wewe!!!!!
Game kubwa inayoongelewa na kusubiriwa na kila mpenda soccer duniani kote ni hii ya Liverpoo Vs Man city, ambayo inachezwa kesho j2, na sidhan kama kuna mpenda soccer halijui hilo
Afu wewe unakuja hapa, unaulza Liverpool wanacheza saa ngap leo??????
Au huko ulipo leo ni jumapili???
Sometimes, siyo kila kitu ucomment...
WAZEE WA HISTORIA LEO MNACHEZA SAA NGapi?
saa 8 usiku na Ashanti United...
Mkuu umenifurahisha sana!
Halafu nasikia Ashanti watachelewa kufika maana ndege wanayokuja nayo kutokea Manchester imepata hitilafu.
"Nlikuwepo":bolt:
Anza kwanza wewe!!!!!
Game kubwa inayoongelewa na kusubiriwa na kila mpenda soccer duniani kote ni hii ya Liverpoo Vs Man city, ambayo inachezwa kesho j2, na sidhan kama kuna mpenda soccer halijui hilo
Afu wewe unakuja hapa, unaulza Liverpool wanacheza saa ngap leo??????
Au huko ulipo leo ni jumapili???
Sometimes, siyo kila kitu ucomment...
kaka mbona unatoka povu kiac hicho?
watu wanagugumia chumba cha pili we unafika kileleni chumba kingine?
nani ka kwambia kila mpenda soka anaongelea game yenu?
hate yaself to be you!
kaka mbona unatoka povu kiac hicho?
watu wanagugumia chumba cha pili we unafika kileleni chumba kingine?
nani ka kwambia kila mpenda soka anaongelea game yenu?
hate yaself to be you!
hahahahh...
kwahyo ulikuwa unajua kwamba game ni jumapili???
Asa ulikuwa na maana gan kupost kile ulichokipost???
Ulikuwa unatafuta Attention???
hahahahh...
kwahyo ulikuwa unajua kwamba game ni jumapili???
Asa ulikuwa na maana gan kupost kile ulichokipost???
Ulikuwa unatafuta Attention???
well sikufahamu kama game ni kesho...nilijua ni leo in the first place
any mstaarabu angeanzia kunikosoa kuanzia hapo kuwa game si leo ni kesho then vitu vingine vikaendelea...
kuna vitu vingine muhimu zaidi ya soka mkuu!
na kuhusu attention...hiyo age niliipita kitambo sana mkuu!
well sikufahamu kama game ni kesho...nilijua ni leo in the first place
any mstaarabu angeanzia kunikosoa kuanzia hapo kuwa game si leo ni kesho then vitu vingine vikaendelea...
kuna vitu vingine muhimu zaidi ya soka mkuu!
na kuhusu attention...hiyo age niliipita kitambo sana mkuu!
Na wewe, ungeuliza kwanza game yetu ni lini????
ungejibiwa vizuri sana...
Tatzo humu, wapenz wa soccer ni weeeengi sana...
So swali lako yawezekana uliliulza ukiwa kwel hujui..lakin kutokana na upenz wa soccer humu ndani, Ilioanekana kama unaleta UTANI na KEJELI flani.....
Well, Game ni kesho jumapili, saa 9:37 Alasiri kwa masaa ya kibongo...
Unakarbishwa pia, kuja kusherekea USHINDI..
Na wewe, ungeuliza kwanza game yetu ni lini????
ungejibiwa vizuri sana...
Tatzo humu, wapenz wa soccer ni weeeengi sana...
So swali lako yawezekana uliliulza ukiwa kwel hujui..lakin kutokana na upenz wa soccer humu ndani, Ilioanekana kama unaleta UTANI na KEJELI flani.....
Well, Game ni kesho jumapili, saa 9:37 Alasiri kwa masaa ya kibongo...
Unakarbishwa pia, kuja kusherekea USHINDI..
HAYA BHANA! THANX MWANA U'LL NEVER WALK ALONE!
HAYA BHANA! THANX MWANA U'LL NEVER WALK ALONE!
KARIBUUUU....
Liverpool mnaongea sana..subirini kesho mtakavotahiriwa bila ganzi
kuna watu mafanikio yetu msimu huu yanawauma!