Mnaongea sana ..kocha wenu toka jtatu yuko kwenye magazeti kuongea ongea,tu kama mtoto anayejifunza kuonfea..subirini kesho si mmezoea magoli ya penati basi kesho jasho litawatoka
Mnaongea sana ..kocha wenu toka jtatu yuko kwenye magazeti kuongea ongea,tu kama mtoto anayejifunza kuonfea..subirini kesho si mmezoea magoli ya penati basi kesho jasho litawatoka
Mnaongea sana ..kocha wenu toka jtatu yuko kwenye magazeti kuongea ongea,tu kama mtoto anayejifunza kuonfea..subirini kesho si mmezoea magoli ya penati basi kesho jasho litawatoka
kocha wetu akiongea we inakuuma nini? Hivi pale uingereza kuna kocha mwenye mdomo kuliko maureen kweli? Kwanza we timu gani,nisije nikawa nabishana na wale watu wenye namba yao ya kudumu kwenye msimamo wa ligi! BTW.if we are talking,it's our time to talk,au ulitaka tuongee lini? Come on u manure! YNWA..!
Mnaongea sana ..kocha wenu toka jtatu yuko kwenye magazeti kuongea ongea,tu kama mtoto anayejifunza kuonfea..subirini kesho si mmezoea magoli ya penati basi kesho jasho litawatoka
Mkuu Ntuzu sie hata ubebe kikombe kwa mara ya 2 hamna noma ila tar27 jiandae kukabidhi point tatu pale messeyside.
Game nyepes kwenu kwenye nusu fainal ya UCL, ni ile ambayo mngepangwa na BAYERN
Lakin kwa AT MADRID itakuwa ni Game ngumu kdg, itahitaj nguvu za ziada sana..
so, Mkizubaa, yatawakuta kama yale ya Real Madrid UCL ya last season dhidi ya Dortmund....AT MADRID wamekuwa na msimu mzuri kama ilvyokuwa kwa Dortmund last season...
Umakini unahitajika aiseee..:
Bado mko na maandalizi ya game? Au mmejificha darini?
Tupo mkuu...sisi siyo watu wa kujificha kabisa.
Leo tunatengeneza njia ya kubeba ndoo...!
YNWA.
Vita vya panzi!
Tupo mkuu...sisi siyo watu wa kujificha kabisa.
Leo tunatengeneza njia ya kubeba ndoo...!
YNWA.
Vita vya panzi!
CONFRIMED #LFC Team: Mignolet, Flanagan, GJ, Skrtel, Sakho, Gerrard, Henderson, Coutinho, Sterling, Suarez, Sturridge
SUBS: Jones, Toure, Agger, Aspas, Allen, Moses, Lucas