Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,325
Mnaongea sana ..kocha wenu toka jtatu yuko kwenye magazeti kuongea ongea,tu kama mtoto anayejifunza kuonfea..subirini kesho si mmezoea magoli ya penati basi kesho jasho litawatoka
You wish...!
Duh!
This is Anfield...!

