achana na hayo mazee ya zamani Ntuzu; utafikiri yalikuwa yanatazama mpira enzi za miaka ya 1970 wakati Liverfool wanachukua ubingwa. Uwe LIverpool sote tumeanza kuangalia mpira ndani ya miaka 20 iliyopita zaidi ya hapo tulikuwa tunatazama mpira kwenye mikanda iliyorekodiwa..kama muvi..
miaka yote mnacheza hampati ubingwa..timu gani ya kizee..tupa kule
Juzi kwa game Yao na city ilibaki Kidogo tu Iwe droo kwasababu haiwezekani kabisa eti timu ipate goli mbili then zirudi zote! Teh Teh Teh Teh
Walikimbia kwa muda mashabiki vibabu vya Loserfool humu! Na baada ya hapo wakaja wengine presha ilikua imepanda kipindi cha pili mara Sijui nini! Timu Bado kabisa!
Na next season kwenye UCL hawatofika mbali tuko hapa!
hivi nyie mpira mmeanza kushabikia lini eti haiwezekani mtu akufunge mbili usawazishe kweli nyie ni plastic fans, muulize ac milan kilichomkuta instanbul alikuwa anaongoza ngapi hadi mapumzika na bingwa alikuwa nani, ndani ya dk6 tu mtu alipigwa3, beki yetu inaruhusu bao kutokana na straika wanavyofunga bwana mdogo,
hivi nyie mpira mmeanza kushabikia lini eti haiwezekani mtu akufunge mbili usawazishe kweli nyie ni plastic fans, muulize ac milan kilichomkuta instanbul alikuwa anaongoza ngapi hadi mapumzika na bingwa alikuwa nani, ndani ya dk6 tu mtu alipigwa3, beki yetu inaruhusu bao kutokana na straika wanavyofunga bwana mdogo,
hivi nyie mpira mmeanza kushabikia lini eti haiwezekani mtu akufunge mbili usawazishe kweli nyie ni plastic fans, muulize ac milan kilichomkuta instanbul alikuwa anaongoza ngapi hadi mapumzika na bingwa alikuwa nani, ndani ya dk6 tu mtu alipigwa3, beki yetu inaruhusu bao kutokana na straika wanavyofunga bwana mdogo,
Goli mbili zilikua za Penalty za kupewa na FAINAL iliyofata mlikutana na Ac Milan kilichokukuta unakikumbuka uzuri kabisa! Nyie ni jogoo liwikalo kijijini tu!
nafurahi umetambua tuliingia fainali UCL in two consecutive periods! Tushabeba 5UCL cups(mara nyingi kuliko timu yeyote ya england). Nipe rekodi yako mkuu(fanya kwenye UCL pekee,make huko kwingine nakusamehe)
nafurahi umetambua tuliingia fainali UCL in two consecutive periods! Tushabeba 5UCL cups(mara nyingi kuliko timu yeyote ya england). Nipe rekodi yako mkuu(fanya kwenye UCL pekee,make huko kwingine nakusamehe)
itakuwa 4-3-3 vs 4-2-3-1.
Martin Skirtel vs Demba Ba(or Eto'o)
nyuma ya Ba kama kawaida: the three 'playmakers' Oscar-Willian-Hazard; or Mo Salah-Oscar-Hazard..mtajeruhiwa sana..hapo kwenye beki zenu.
kati sasa ndo patamu. Gerrard vs Matic(spider man); Ramires "box to box midfielder...
washambuliaji wenu: SSS watakiona cha moto: kushoto Dave - Cesar Azpilicueta; kulia Ivanovic..kati sina hata ya kusema the strongest partnership: Cahill and Terry.
mechi ya kwanza pale kati tuliwatuliza kabisa walicheza Lampard na Luiz; sasa tunaweka ufundi kidogo kwa kuwawekea Matic, tukitaka tunaweza kuweka Matic na Mikel ndo mtakuwa hampiti kabisa vijogoo....
tarehe 27 si mbali..:high5:
UN TRUE
mlicheza fainali 2005 vs AC Milan
mlicheza fainali 2007 vs AC Milan
hapo kati 2006 ilikuwa Arsenal vs Barca;
fikiri kabla ya kusema..FYI.
Huyo jamaa nimewatega na yeye akajaa mzima mzima!
Ata kumbukumbu hawana!
Alafu tangu apigwe na Milan 2007 ndio Loserfool ikapotea kabisa!
Teh Teh Teh Teh
Ebu waangalie Ktk miaka 10 iliyopita Chelsea ni lini hawajashiriki UCL?
LFC for Glory 2014.. Mourinho atapasuka Anfield..Back to Glory days!! You know what I mean right? YNWA!!
We lazima Ni mwanamke unashangilia mpira kumfurahisha bwana ako, au la ni utoto unakusumbua. Mashabiki wa kweli wa mpira hawaruki ruki kama mbwa yuko kwenye joto. Linapokuja suala la Football greats ubishani ni Kati ya mashabiki wa Liverpool na Man United, nyie wengine ingieni jikoni kupika tu. Hujui mpira wewe zaidi ya kuwa na mihemko ya mpira.
Game inayofuata ni Norwich muhimu 3points nimetizama kwa ukaribu Kama tunawatengenezea Chelsea? Game ambazo naziogopa ni Chelsea na C Palace Kama tukimpiga Chelsea Nguvu ya kwa C Palace lazima tukaze Handerson Red Card pengo kubwa tofauti ya Hendo Anazunguka sana Lucas yeye anakaa sana nyuma na kugawa Freekick nje ya Box game na. Chelsea ndio itajulisha Ubingwa wapi sasa hivi LFC turizike CL tunacheza , Presha ni kubwa LFC hatuna Bench SG akipata yellow hachezi game mbili kazi ipo ila timu naiamini.
We lazima Ni mwanamke unashangilia mpira kumfurahisha bwana ako, au la ni utoto unakusumbua. Mashabiki wa kweli wa mpira hawaruki ruki kama mbwa yuko kwenye joto. Linapokuja suala la Football greats ubishani ni Kati ya mashabiki wa Liverpool na Man United, nyie wengine ingieni jikoni kupika tu. Hujui mpira wewe zaidi ya kuwa na mihemko ya mpira.
hivi nyie mpira mmeanza kushabikia lini eti haiwezekani mtu akufunge mbili usawazishe kweli nyie ni plastic fans, muulize ac milan kilichomkuta instanbul alikuwa anaongoza ngapi hadi mapumzika na bingwa alikuwa nani, ndani ya dk6 tu mtu alipigwa3, beki yetu inaruhusu bao kutokana na straika wanavyofunga bwana mdogo,
hauwezi kuwa haujarogwa jamaa angu, mlisubir miaka mingapi hadi kuja kuchukua EPL na mlisubir miaka mingapi hadi kuchukua UCL uwe unashirilikisha ubongo kidogo co unaropoka tu
Mkuu achana kubishana na plastic fans wa Chelshit.
sisi tunabishana na watani wetu wa jadi ambao ni ManU.
Hawa Chelshit ni watu wa jana tu baada ya kuja Abamovich na Maureen.
the biggest game in the EPL has always and will always be between Liverpool vs Man U
Hawa wengine ni watoto wa jana tu
vitoto vya Maureen mna matatizo kweli
Jana Chelshit, pamoja na swansea kupata RedCard ya Mapema, walipata taaaaaaabu sana kushinda..
Afu still wanapga Mahesabu ya kuja kushinda ANFIELD.
Mawazo ya Plastic fans, yanakuwaga Mgando sana...
Wenzangu wameongea karibia maneno yote.Mimi sina cha kusema.
Ila kwa wale mashabiki wa chelsea,napenda kuwaambia kuwa mechi yetu inayofuata ni against Norwich City.
Baada ya mechi dhidi ya Norwich,nadhani hapo mashabiki wa Chelsea ndio mtapasawa kuongea yote mnayoyataka kuhusu mechi yetu dhidi yenu.
Point tatu ndio ushindi,We will never walk alone.
Liverpool till I die.
"​Nlikuwepo":bolt:
Mkuu Mahesabu yako yakoje??Hivi ujui kua Chelsea ata ikitokea amemfunga Liver nafasi ya ubingwa kwake ni hadi City aharibu moja yake mechi zake, so Chelsea bado hana nafasi ki Wepesi, maana bado itamuitaji kumuombea City apoteze nikimaanisha anahitaji matokeo ya mabaya toka team mbili kwa yeye kuchukua, so far sijaiona team ya kumharibia Man City baada ya sisi kumharibia.
Kuhusu SG8 kadi zake zilisha isha tarehe 13 mwezi wa 4..........Ebu acha uoga wako
Goli mbili zilikua za Penalty za kupewa na FAINAL iliyofata mlikutana na Ac Milan kilichokukuta unakikumbuka uzuri kabisa! Nyie ni jogoo liwikalo kijijini tu!
CITY v EVERTON game ya mwisho..
Nashukuru kufahamu kua hukuangalia mechi iyo, na wala wewe si mpenzi wa soccer ila ni mpenzi wa team yako Tu, alafu hiki kizazi cha Abromovich kilichoanza ushabiki miaka ya 2000 ni tatizo sana aisee.
Mkuu Mahesabu yako yakoje??Hivi ujui kua Chelsea ata ikitokea amemfunga Liver nafasi ya ubingwa kwake ni hadi City aharibu moja yake mechi zake, so Chelsea bado hana nafasi ki Wepesi, maana bado itamuitaji kumuombea City apoteze nikimaanisha anahitaji matokeo ya mabaya toka team mbili kwa yeye kuchukua, so far sijaiona team ya kumharibia Man City baada ya sisi kumharibia.
Kuhusu SG8 kadi zake zilisha isha tarehe 13 mwezi wa 4..........Ebu acha uoga wako