achana na hayo mazee ya zamani Ntuzu; utafikiri yalikuwa yanatazama mpira enzi za miaka ya 1970 wakati Liverfool wanachukua ubingwa. Uwe LIverpool sote tumeanza kuangalia mpira ndani ya miaka 20 iliyopita zaidi ya hapo tulikuwa tunatazama mpira kwenye mikanda iliyorekodiwa..kama muvi..
miaka yote mnacheza hampati ubingwa..timu gani ya kizee..tupa kule
hauwezi kuwa haujarogwa jamaa angu, mlisubir miaka mingapi hadi kuja kuchukua EPL na mlisubir miaka mingapi hadi kuchukua UCL uwe unashirilikisha ubongo kidogo co unaropoka tu