Ni kweli Mkuu!
Soccer ni upendo!
Anyway! Mahaba ndio kila kitu kwa timu Mkuu!
ngoja tukikugonga tarehe 27 ndio utafunga lako bakuri maaana unabwata sana aiseee bila hata gavana??
Chelsea ww tushakugonga sana hasa na huyo kocha wenu morinyo Alikuwa hafurukuti kabisaaa aisee
Manure Utd na Liverpool hawauziani wachezaji directly hata siku moja, Mara ya Mwisho ilikuwa ni Mwaka 1964, alitoka Phil chisnall Manure kuja Liverpool, kipind hichoooo..
tangu hapo hakuna mchezaj ambae team hiz ziriuziana directly mkuu, Akina paul ince na Owen walitoka clubs tofaut kabla ya kujoin team mbili kat ya hizo, lakin haikuwahi kutokea uhamisho directly wa players, kama vile RVP kwenda Manure, Torres kwenda Chelshit..
Liver na Manure hawauzian wachezaj directly..
Rejea ile saga ya Gabriel Heinze..
Brendan Rodgers lazima apasuke hapo kwakwe anifield
Nashukuru sana mkuu kwa uchambuzi wa kina kabisa huo. Hivi kumbe hata mchezaji kutoka timu moja kwenda nyingine inategemea huwa mkoje na timu inayomtaka. Sasa hapo sijui ni suala la mkataba wa kuuziana au kutouziana wachezaji uliopo baina ya timu husika au ni hali tu inayojitokeza.
ngoja tukikugonga tarehe 27 ndio utafunga lako bakuri maaana unabwata sana aiseee bila hata gavana??
Chelsea ww tushakugonga sana hasa na huyo kocha wenu morinyo Alikuwa hafurukuti kabisaaa aisee
ngoja tukikugonga tarehe 27 ndio utafunga lako bakuri maaana unabwata sana aiseee bila hata gavana??
Chelsea ww tushakugonga sana hasa na huyo kocha wenu morinyo Alikuwa hafurukuti kabisaaa aisee
Hii ishu ni tofauti kwa team nyingne, Kwa mfano Liverpool wanaweza wakauziana wachezaji directly na Arsenal, Man city, Chelsea, Spurs na team zingne kwenye PL..
Lakin Liverpool na Man utd hawana utamaduni wa kuuziana wachezaj directly, yaan mpak sasa tangu mwaka 1964 hakuna mchezaj aliyetoka liver kwenda man utd au kutoka man utd kwenda Liver directly, na Hakuna MAKUBALIANO yoyote yaliyofikiwa kuwa club hiz zisiuziane wachezaj, Ila tu hii inatokana na upinzan MKuBWA sana baina ya hizi team since then..
Rivarly yao ni kubwa sana katka Soccer ya UK, kila team inagombea UFALME wa soccer ya ENGLAND, kumbuka hiz ndo the biggest clubs in ENGLAND to date..Na baada ya Fergie kuichukua Man utd ndo Upinzani ukazid mara dufu. Liverpool and Man utd shares a fiercest rivarly in English football History that has lasted for decades now..miongo kibao imepita..na bado upinzani unazid..
Afu kuhusu hizi transfer rumours, kuhusu liverpool, ningeshauri uwe unawachek sana reporters kama James pearce wa LiverpoolEcho, Ben Smith wa BBCsport, au Tony Barret wa The Times hawa wana inside infos za liverpool na ni Reliable sana...hawa Metro, mirror, The independent, Telegraph, ni trash kabisa, na ukiwafatilia kuhusu habar za usajil unaweza ukadata au ukaamini vitu ambavyo havipo kabisaaaa...
Daaah! ebwana big up sana kwa update zako nzuri. Nashukuru ntakuwa nafuatilia toka hao reporters broo
JOSE MOURINHO VS LIVERPOOL
IDADI YA MECHI DHIDI YA LIVERPOOL = 17.
Mourinho kaipiga Liverpool Fc mara 8.
Mourinho katoa droo ni LIverpool mara 4.
Mourinho kapoteza kwa Liverpool mara 5.
Sasa nani hafurukutu hapo? Labda wewe LEGE.:glasses-nerdy:
Tatizo Morinho akifungwa huwa hakosi sababu kusingizia wenzake. mara utamsikia ooh, Suarez anajiangusha sana, mara sijui refa mbovu, yani ilimradi tu apate cha kusingizia
Tatizo Morinho akifungwa huwa hakosi sababu kusingizia wenzake. mara utamsikia ooh, Suarez anajiangusha sana, mara sijui refa mbovu, yani ilimradi tu apate cha kusingizia
hapo kwenye wino mwekundu una uhakika mkuu au ni hisia zako tu?
nawaheshimuni majirani lakini uwongo si mzuri hapa JF.
Kuhusu Suarez kujirusha ni kawaida yake hata yeye amewahi kukiri hadharani kwamba huwa anajirusha ili kusaidia timu.
Nitoe 'source' ya habari?
Kamata: BBC SPORTS
Rodgers revealed the club would take action against the Uruguayan.
"I think it's wrong. It's unacceptable. I've spoken to Luis and it will be dealt with internally," he said.
"Diving is not something we advocate. Our ethics are correct.
"He has been totally understanding on where I am coming from as manager of the club," Rodgers continued.
"This is a big club and, whatever people do say goes around the world, and what was said was wrong and not acceptable. There is no-one bigger than the club or the club's image."
SUAREZ:
Suarez made the shock comments in an open interview with Fox Sports Argentina, where he revealed that fell inside the box cheaply because we needed to win.
Football is like that. Sometimes you do things on the field that later you think why the hell did I do that?, said Suarez.
I was accused of falling inside the box in a match, and its true I did it that time, because we were drawing against Stoke at home and we needed anything to win it.
SUAREZ hajawahi kumfunga Mourinho;
msimu huu SUAREZ hajafunga Chelsea FC, hajafunga City, timu ambazo Suarez anaweza kuzifunga ni timu za kuanzia nafasi ya 8-20 huko ndo anafunga sana.
MOURINHO kiboko yako.
Suarez made the shock comments in an open interview with Fox Sports Argentina, where he revealed that fell inside the box cheaply because we needed to win.
Football is like that. Sometimes you do things on the field that later you think why the hell did I do that?, said Suarez.
I was accused of falling inside the box in a match, and its true I did it that time, because we were drawing against Stoke at home and we needed anything to win it.
VITUKO VYA LUIS SUAREZ MCHEZAJI WA LIVERPOOL:
1. Alishika mpira vs Ghana 2010.
2. Aling'ata mchezaji alipokuwa anacheza ligi ya Uholanzi akapigwa ban mechi 7.
3. Alimpiga teke Scott Parker wa Spurs.
4. Alivuta nywele za mchezaji wa Man Utd; Rafael da Silva.
5. Alishika mpira kwa makusudi alafu akafunga ilikuwa mechi kati ya LIVERPOOL vs MANSFIELD
6. Aliwanyooshea kidole cha kati mashabiki wa FULHAM.
7. Alijirusha mbele ya kocha David Moyes walipocheza LIVERPOOL vs EVERTON
8. Alimtukana Evra na kumbagua kwa sababu ni mweusi.
9. Aligoma kusalimiana na Evra kwenye mechi dhidi ya MAN UTD.
10. Alimng'ata Ivanovic wa Chelsea, kumbuka alifungia mechi ngapi?
KWENYE MAMBO YA KINYANI NYANI..SUAREZ KAMZIDI DROGBA MBALI KABISA..SUAREZ KIBOKO YAO..
Goli ni goli tu, haijalishi umeifunga timu gani. Na hata kama hajazifunga, ukifuatilia ana mchango mkubwa sana kwa wale waliofunga. Lakini pia Suarez ndiye anayeongoza kwa sasa kwa ufungaji EPL