Kwa nini nisiitaje:
Timu 4 zilizobaki ni: Real Madrid, Bayern Munich, Chelsea, Atletico Madrid ongeza ya tano wewe.
hiyo Ajax nmekutajia tu, ili ujue, kuna team zina vitu vikubwa ila hazipig makelele..
kwa taarifa yako nilitumia akili kupata nguvuakili ni bora kuliko nguvu
hahahah
Hoja ya CL ni dhaifu sana..Manchester Utd imeingia mpaka hatua ya mtoano this season..
Je ni team bora????
kwa taarifa yako nilitumia akili kupata nguvu
Naomba nikupe shule kidogo; UEFA tangu mwaka 2009 wameanzisha utaratibu wa kupanga rankings za timu nenda kasome kule acha utata; inaonekana hujui nisemacho.
soma vitu hapo:
Ubora wa timu since 2009:
1. Barcelona CF
2. Real Madrid CF
3. Bayern Munich
4. Chelsea FC
liverpool fc haimo hata katika top 20 nakuambia...aibu sana.. mnafanya nini sasa?
Kwa nini nisiitaje:
Timu 4 zilizobaki ni: Real Madrid, Bayern Munich, Chelsea, Atletico Madrid ongeza ya tano wewe.
Kulingana na UEFA; Man Utd ni timu #5 kwa ubora.
umeona sasa!!!!
bado upo na data za 2009???
nimekwambia kwa msimu huu shekhe!!!!
Barcelona haiwez ikawepo namba moja..
wala Bayern Munich kuwa namba 3 kaka..
sometimes changanya na akili zako..
hapa tunazungumzia msimu huu
Mkuu umerudi eeh! natumai ibada imeenda vzuri either ijumaa kuu or jumaa kareem, alafu usiongeze siku mecxhi ni tar27 bado cku 9 tu nahisi una mchecheto wa kufungwa sio bure
Mkuu mi nipo nilikua na pilika Kidogo!
Naona ndugu yng agosti 8 kawawashia moto sn! Yani nyie lazima mchemke!
umeanza kutepeta sasa.. ?
wewe ni timu kongwe..ila katu si timu bora.
kwa miaka 20 iliyopita mimi ni bora kuliko wewe..kila idara.
hahahahaha
seriosly????
Au ndo unachangamsha jukwaa kama unavyosema???
una uhakika na unachokisema??
for the past 20 years???
Chelsea imekuwa bora zaid ya Liverpool consistently kuanzia 2009 mpk 2013 tu..na ubora huo katika idara ya Kumalza juu ya Liverpool na kucheza UCL..lakin kwenye idara ya head to head matches NO..
kweli una biashara na cc yaani nimekutafuta kule nikukumbushe leo ijumaa kuu, ila cjakupata, mara yamwisho ulionekana ukimfundisha mtu mambo ya avatat ukakimbia jumla, najua baada ya tar27 hutaonekana humu
Mkuu Ntuzu karibu jukwaani; mimi na wewe tunawatosha kabisa..akija na Mentor ndo kabisaa wanapotea. Mashabiki wa LIverpool wachovu sana ndo maana hii thread ina pages ambazo hazijafika hata 400 yaani!
umeona sasa!!!!
bado upo na data za 2009???
nimekwambia kwa msimu huu shekhe!!!!
Barcelona haiwez ikawepo namba moja..
wala Bayern Munich kuwa namba 3 kaka..
sometimes changanya na akili zako..
hapa tunazungumzia msimu huu
Mkuu Hawa Mbona wetu Hawa mpk Tarehe 27 watakua wameshasema legea kabisa!
Teh Teh Teh natoa pole kwa SG mipango Yake ya kustaafu na ndoo asahau kabisa!
Teh Teh Teh
Chezea Simba Wa blue Wewe!?!
una uhakika na unachokisema??
for the past 20 years???
Chelsea imekuwa bora zaid ya Liverpool consistently kuanzia 2009 mpk 2013 tu..na ubora huo katika idara ya Kumalza juu ya Liverpool na kucheza UCL..lakin kwenye idara ya head to head matches NO..