kama kawaida ya Mourinho: Thomas Kallas #33 akacheza vizuri mwanzo mwisho.
huyu kijana huwa anacheza pia upande wa kulia.
ningependa jumatano acheze kulia alaf kushoto acheze Cesar Azpilicueta.
lakini hata Cole anafanya kazi nzuri sana. Heshima kwa Ashley Cole.:clap2:
huyu kijana huwa anacheza pia upande wa kulia.
ningependa jumatano acheze kulia alaf kushoto acheze Cesar Azpilicueta.
lakini hata Cole anafanya kazi nzuri sana. Heshima kwa Ashley Cole.:clap2:
No Luiz
No Cahill
No Torres