No Luiz
No Cahill
No Torres
hahahaha! kumbe haya ndio mabasi mawili anayoongelea BR?
kwanza wavuke hilo basi la kwanza halafu uje la pilihahahaha! kumbe haya ndio mabasi mawili anayoongelea BR?
hiyo ni 4-5-1.
shida nini?
kwanza wavuke hilo basi la kwanza halafu uje la pili
Wanamwita MARTIN ARTIKINSON
alikuwa ametuchukia tangu mwanzo, yule wa mezani ndo kabisaa. alikuwa anabishana na Mourinho kule kwenye benchi..
CHELSEA FC..kiboko yao.
CFC 2 - 1 LIVERPOOL.
LIVERPOOL 0 - 2 CFC.
CHELSEA 2 - 1 MAN CITY.
MAN CITY 0 - 1 CFC.
SPURS 1 - 1 CFC.
CHELSEA 4 - 0 SPURS.
ARSENAL 0 - 0 CFC.
CFC 6 - 0 ARSENAL
MAN UTD 0 - 0 CFC.
CFC 3 - 1 MAN UTD.
kuna mtu anatudai?🙂
hahahaha! kumbe haya ndio mabasi mawili anayoongelea BR?
kwanza wavuke hilo basi la kwanza halafu uje la pili
kama kawaida ya Mourinho: Thomas Kallas #33 akacheza vizuri mwanzo mwisho.
huyu kijana huwa anacheza pia upande wa kulia.
ningependa jumatano acheze kulia alaf kushoto acheze Cesar Azpilicueta.
lakini hata Cole anafanya kazi nzuri sana. Heshima kwa Ashley Cole.:clap2:
Wanamwita MARTIN ARTIKINSON
alikuwa ametuchukia tangu mwanzo, yule wa mezani ndo kabisaa. alikuwa anabishana na Mourinho kule kwenye benchi..
CHELSEA FC..kiboko yao.
CFC 2 - 1 LIVERPOOL.
LIVERPOOL 0 - 2 CFC.
CHELSEA 2 - 1 MAN CITY.
MAN CITY 0 - 1 CFC.
SPURS 1 - 1 CFC.
CHELSEA 4 - 0 SPURS.
ARSENAL 0 - 0 CFC.
CFC 6 - 0 ARSENAL
MAN UTD 0 - 0 CFC.
CFC 3 - 1 MAN UTD.
kuna mtu anatudai?🙂
naona wadau wa timu ya yule mrusi leo mmetia kambi humu! Hongereni kwa ushindi wenu wa jana! Ila mjipange na game ya atm,make nama mnafanana sana style ya kucheza,atakayeruhusu kufungwa goli ndo atakayepoteza game hiyo!That's all abt football,nadhani michezo kama hii kuna kitu BR anajifunza,there must be a plan B,C etc. Unapocheza game kama ya jana! Aione Ntuzu agosti 8.#redordead !
hahahaha! kumbe haya ndio mabasi mawili anayoongelea BR?
Mkuu Asante sn!
Maandalizi ya ATM tumeshayafanya na tunayafanya! Wewe mwenyewe Umeona tulipumzisha wachezaji wengi sn ile Jana kwaajili ya hiyo game!
Bado BR ana mengi sn ya kujifunza na kurekebisha na huenda msimu ujao mtakua Vzr Zaidi ya huu msimu!