Well said Mosdef;
sisi wenyewe tunatafuta mshambuliaji ambaye kosa moja goli moja.
si unajua enzi za Drogba?
sibiri usajili uanze..tujimwage sokoni..
sisi wenyewe tunatafuta mshambuliaji ambaye kosa moja goli moja.
si unajua enzi za Drogba?
sibiri usajili uanze..tujimwage sokoni..
Agosti 8 umesema ukweli mtupu LFC ingekuwa bingwa kama wangekuwa wanaongoza kwa Point 8-12 juu na timu zote juu kama zingekuwa zimecheza game sawa ila walikuwa wanaongoza point tofauti ni 3 point wengine wana zamkononi muda mwengine Morinho anasema kweli fake table tunamuona mind game japo anazo mind games, ni timu chache ambazo zingekuwa kwenye nafasi ya LFC zingeshinda huu ubingwa ni Man United na Chelsea kwa point za kufuatana chache wangebeba why sababu wana players ambao wamepitia hizi Presha miezi kama hii ya ubingwa why Chelsea haijawezekana sababu wamepitia hizi Presha? Nafikiri mind games za Morinho hatushindi EPL wakati moyoni anaitaka imeharibia watu wachache ambao hawakuwahi kufikia hizi sehemu kwa wachezaji wa Chelsea ila United nauhakika asilimia 100 wangebeba so hili ni funzo kubwa kwa wachezaji wa LFC kwa baadae wachezaji LFC wengi watavunjika kimoyo ila mpaka World Cup watakuwa washajengeka na mambo kama haya ndio yanafanya timu inarudi kwa Speed haivunjiki tena moyo kama tulivyojifunza huuzi best players kwa United na ndio tutajifunza pia makosa kwani United why wanashinda ubingwa sababu Sir Alex kawafundisha motivation yao tizameni LFC mpaka walifikia yao na LFC waige kutowa woga nakuwa mean and dirty kumbuka Blackburn wali win walikuwa wanafanya kila liwezekalo washinde Chelsea pia the best team ilishinda sema wao Point walichukua nyingi mapema ndomana nikasema LFC ingekuwa point 8-12 sawa wangebeba ni Arsenal ile ya Unbeaten ila kumbuka ilikuwa na Gilberto na Edu na mabeki Mean and Dirty ndio bingwa anavyokuwa Chelsea n United mpaka inafikia juu anapoint 2 tu anauwezo wakubeba sababu kila game anajuwa aifume vipi anapiga mtu goli then sehemu za katikati wanaanza kurusha mtu jiulize why United na Chelsea wanaifunga sana Arsenal na mpira wao mzuri katakata za kati ya uwanja mpaka mtu unabaki lawama. Tiki taka is best ila unapofikia ubingwa game zengine angua maembe with long balls na fyeka fyeka watu kati wakuogope.