huwa sikimbii mie..ila huwa nikishafanya mashambulizi ya nguvu..narudi kukaba si unajua sisi asili yetu ni kukaba mwanzo mwisho?
sichanganyikiwi kama avatar yako.. mie mahesabu nayajua.
CFC 6- 0 ARSENAL.
CFC 2- 0 LFC.
CFC 3- 1 MAN UTD
CFC 2 - 1 MAN CITY.
CFC 4 - 0 SPURS.
tunachukua pointi zenu...tunawapa maskini.
hii kitu ndio inayo tu cost chelsea itachukua muda kupata mfungaji dizaini ya drogba.
pole vijogoo kwa duroo city here we come..
Jana kalamba tuzo tatu kwa mpigo tena...
Huu mwaka wake huyu jamaa...
Haya sasa baada ya jana kubolonga na kudondosha tonge wenyeweeeeeeeeee..
Dua zenu hazitamfikia mwewe.
Eti suarez analia!!!! Alijua atamaliza msimu na trebble trophies??!!!
Hiyo suarez ulivyoitaja, utafikiri unakaa nae jirani yaani!!!!!
Down to the wire!Kombe team isubiri hadi mechi ya mwisho!I like EPL!!
Poleni sn Loserfool. Mtasubiri tena miaka mingapi 24 Au?
Poleni sn Loserfool. Mtasubiri tena miaka mingapi 24 Au?
jeradi akikusikia ataangua kilio maana huwa anajifanya yeye ni nyota sana hasa baada ya kutufunga kwa penati.