Kama jinsi ilivyo, mchezo wa football ni wa matokeo ya ya team work. That means kila mmoja kwenye timu husika ana jukumu la kuhakikisha kwamba timu yake inapata matokeo mazuri. Kwa kutangulia kusema hayo then hakuna ubishi kwamba BR as well has to take the blame for what happened atr selhurtst park.
Rodges ameipa Liverpool mabadiliko chanya ambayo hakuna aliyetarajia. Lakini ni wazi kwamba hajakomaa and especially when it comes on pushing for the title. Timu imekuwa na momentum nzuri kwenye wiki kadhaa zilizotangulia na kiasi kwamba wanaoipenda na wasioipenda Liverpool walianza kuamini kwamba this might be it!!
As time goes matarajio na kujiaminisha kulizidi na lazima tukubali kwamba hisi ya kuchua kombe baada ya kulikosa kwa miaka 24 ni kitu ambacho hakizuiliki!. BR alikuwa akikwepa lakini lazima hisia hizi zilijenga pressure kwa wachezaji na bechi zima. Moja ya kazi kubwa ambayo ninafikiri kocha angetakiwa kuifanya kwa wakati huo ni kutafuta namna ya kutuliza munkari wa wachezaji uliyokuwa unasababishwa na hamu yao ya kuchukua ubingwa before the lost their focus. Sikuona BR kufanya hivyo na ndiyo maana wakati ubao unasomeka Cry1 Liver3, bado unawaona GJ na flanno wakipanda kwenye wing zote mbili trying to force for the 4th goal.
Wakati man-shit wakitumia hela za kifalme na mafuta nakulimbikiza 2 world class players for each position. Chelshit wananyanyu mikia wakidengua na hela za shuga dady wao aliyewalkusanyia 2 world class players kwa kila namba. Arsenal wana hazina ya average of 1.5 world class player kwa namba. Spurs wakifanya usajili wa kutishia nyau baada ya kumuuza Bale. Manure wakiwa na kikosi cha wacheza 22 waliochukua ubingwa msimu uliopita. Liverpool…? BR alichokifanya ni kumtuliza Lui kisaikolojia nakumjengea mazingira yaliyomfanya kuwa the deadliest striker in Europe. Fundi aliyekuwa bechi la Inter amembadilisha na kuwa one of the leading playmakers (Coutinho). Wale wote waliyokuwa wakisema Sterling siyo level ya Livepool, leo hii wanamsifu, Sturridge alikwisha potea, lakini Br amemfanya kuwa lulu na sasa tegemeo la National team. Fanno ni kisiki cha uhaika kama unabisha kamuulize yahaya ture…ehe nani alisema kwamba Liverpool walinunua galasha kwa Henderson?
Ni vigumu kumlamu manager aliweza kupambana so closely with those who spends twice of what you can. As such, some fans desire to leap at BR's defense is understandable. As well you have to be able to make a push for the final mile before finish
CONGRATULATION TO EVERY ONE FOR THE WONDERFUL SEASON!!
Rodges ameipa Liverpool mabadiliko chanya ambayo hakuna aliyetarajia. Lakini ni wazi kwamba hajakomaa and especially when it comes on pushing for the title. Timu imekuwa na momentum nzuri kwenye wiki kadhaa zilizotangulia na kiasi kwamba wanaoipenda na wasioipenda Liverpool walianza kuamini kwamba this might be it!!
As time goes matarajio na kujiaminisha kulizidi na lazima tukubali kwamba hisi ya kuchua kombe baada ya kulikosa kwa miaka 24 ni kitu ambacho hakizuiliki!. BR alikuwa akikwepa lakini lazima hisia hizi zilijenga pressure kwa wachezaji na bechi zima. Moja ya kazi kubwa ambayo ninafikiri kocha angetakiwa kuifanya kwa wakati huo ni kutafuta namna ya kutuliza munkari wa wachezaji uliyokuwa unasababishwa na hamu yao ya kuchukua ubingwa before the lost their focus. Sikuona BR kufanya hivyo na ndiyo maana wakati ubao unasomeka Cry1 Liver3, bado unawaona GJ na flanno wakipanda kwenye wing zote mbili trying to force for the 4th goal.
Wakati man-shit wakitumia hela za kifalme na mafuta nakulimbikiza 2 world class players for each position. Chelshit wananyanyu mikia wakidengua na hela za shuga dady wao aliyewalkusanyia 2 world class players kwa kila namba. Arsenal wana hazina ya average of 1.5 world class player kwa namba. Spurs wakifanya usajili wa kutishia nyau baada ya kumuuza Bale. Manure wakiwa na kikosi cha wacheza 22 waliochukua ubingwa msimu uliopita. Liverpool…? BR alichokifanya ni kumtuliza Lui kisaikolojia nakumjengea mazingira yaliyomfanya kuwa the deadliest striker in Europe. Fundi aliyekuwa bechi la Inter amembadilisha na kuwa one of the leading playmakers (Coutinho). Wale wote waliyokuwa wakisema Sterling siyo level ya Livepool, leo hii wanamsifu, Sturridge alikwisha potea, lakini Br amemfanya kuwa lulu na sasa tegemeo la National team. Fanno ni kisiki cha uhaika kama unabisha kamuulize yahaya ture…ehe nani alisema kwamba Liverpool walinunua galasha kwa Henderson?
Ni vigumu kumlamu manager aliweza kupambana so closely with those who spends twice of what you can. As such, some fans desire to leap at BR's defense is understandable. As well you have to be able to make a push for the final mile before finish
CONGRATULATION TO EVERY ONE FOR THE WONDERFUL SEASON!!