Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

wakuu tujiandae kabisa kesho kuchukua ubingwa
mancity anapigwa kesho na sis tunasinda
 
Liver msimu ujao watafanya vibaya sana kwasababu mbili champions Ligi itawachosha. Pili liver wamenufaika na points sita dhidi ya utd na radi haipigi Mara mbili!
 
Liver msimu ujao watafanya vibaya sana kwasababu mbili champions Ligi itawachosha. Pili liver wamenufaika na points sita dhidi ya utd na radi haipigi Mara mbili!

Tunashukuru kwa utabiri wako Shekhe Yahya!!!!
 
Liver msimu ujao watafanya vibaya sana kwasababu mbili champions Ligi itawachosha. Pili liver wamenufaika na points sita dhidi ya utd na radi haipigi Mara mbili!
Vipofu watajifanya hawajauelewa huu ujumbe...khahaaaa!!
 
una roho mbaya ndugu yangu!
Mkuu mi napenda zaidi Liver abebe ndoo manake kashfa na maneno mabaya from opponents yamezidi, rather than Man City lakini ukiangalia uhalisi kwa mechi hizi za mwisho naona kama niatakuwa najitoa akili kusema hili ndoo ni lenu!! Ndo mana naseama ni NDOTO, only 90 mins will decide.
 

Ligi sisi tuliimaliza siku ile tulivyofungwa na chelsea! Wining the league will be a miracle kwa sasa kama alivosema babu wenga! Lakini kumaliza juu ya chelsick binafsi ntafarijika sana. Let us meet next season.
 
Ligi sisi tuliimaliza siku ile tulivyofungwa na chelsea! Wining the league will be a miracle kwa sasa kama alivosema babu wenga! Lakini kumaliza juu ya chelsick binafsi ntafarijika sana. Let us meet next season.
Likewise...Chelsick itamuuma sana kuwa below Liverpool...yule domo atakuwa kimmmwaaaaaaa!!
 
Kesho Liverpool wanatawazwa rasmi kuwa mabingwa wapya wa EPL...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…